HISIA KALI
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 694
- 109
Mzee Mwai Kibaki ni Rais mstaafu wa Kenya ambaye alitoka KANU na kujiunga na upinzani na kufanikiwa kushinda kuwa Rais wa tatu wa nchi ya Kenya. Huyu alikuwa na umri wa miaka 70 na kitu alipochaguliwa kuwa Rais.
Ni mtu ambaye hakuwa na maneno mengi kwenye hotuba zake lakini ndiye Rais aliyeleta maendeleo makubwa Kenya. Alitumia uzoefu na umakini wake bila maneno mengi kupanga mikakati kabambe na kupandilisha kabisa uchumi wa Kenya.
Ni mtu ambaye hakuwa na maneno mengi kwenye hotuba zake lakini ndiye Rais aliyeleta maendeleo makubwa Kenya. Alitumia uzoefu na umakini wake bila maneno mengi kupanga mikakati kabambe na kupandilisha kabisa uchumi wa Kenya.