Lowassa hoi, yupo matibabu Ujerumani anaumwa stroke

Status
Not open for further replies.
EL hafai kuwa Rais lakini kuwepo kwake ktk kugombea 2015 kutaipa changamoto CCM kuchagua mgombea wa kweli mwenye imani ya wananchi na atakayetumikia makundi yote..

Wana CCM wanaojali chama wanamuombea EL awe na afya na aendelee na purukushani zake za urais 2015..hii ni nzuri kwa ccm na taifa kwa sababu ukitoa kundi kubwa la EL makundi madogo madogo yaliyobaki yanaogopa nguvu zake na hivyo hayana budi kujiunga na kupendekeza mgombea anayefaa hapo 2015 na siyo mgombea wa kupachikwa kilaza kama vile JK anavyopanga kufanya...El asipokuepo kila mtu atataka kuweka mtu wake na hapo JK atapata upenyo wa kuweka mtu kama yeye 2015


poor pooor and poooor defending reasons!he is not and he will not b a prsnt of this country!
 
Duhh kazi kweli kweli. Lowassa ana pesa za kutosha hawezi kwenda Appollo ni cheap place kwake, Ujerumani wako juu zaidi. Anyway namtakia na kumuombea apone haraka ili ajionee mapambano yanavyoendelea
 
kuna kikao kinaendela pale ujeruma cha ''club of 11'' na lowasa huwa ni memba...kama anachek afya yake pia basi hakuna shida...hiyo mild stroke imekuwa kubwa kwa sababu ya ubishi wake wa kutoacha kutumia Remmy Martin....vidonge alivyokuwa anatumia toka indonesia vilikuwa vizuri sana na vilikuwa vinamsaidia sana tatizo lake kila siku lazima anywe remmy martin.......sasa hivi hata miko yake inatetemeka
 
Kama ni kweli basi tunamwombea kwa Rabuka apone.
Suala la eti yeye kusimamishwa na CCM kugombea come 2015 is just a wishful thinking! Nasema haitawezekana!!
 
Duhh kazi kweli kweli. Lowassa ana pesa za kutosha hawezi kwenda Appollo ni cheap place kwake, Ujerumani wako juu zaidi. Anyway namtakia na kumuombea apone haraka ili ajionee mapambano yanavyoendelea

Penye red
Hizo pesa za kutosha amepokea "dividend" au "directors' fees" kwenye makampuni yapi? Mara nyingi huwa siwaelewi mnaposema mtu ana pesa nyingi; angekuwa anamiliki SOMAIYA Groups, IPP Group, Mohamed Enterprises au kampuni zinazofanana na hizo kwa ukubwa wa biashara lugha zenu zingeeleweka
 
hivi mlio karibu nae bado ana kiu ya kupanga magogoni?

Kiongozi kiu ya magogoni haiishi hivi hivi vinginevyo unajali shida za watanzania,km kweli unajali huwezi kupagombea pale,tena kwa staili ya muheshimiwa aliyeko tayari ht kutoa roho ya mtu,nina mashaka.Tunamuombea mungu apone haraka ili apate muda wa kutubu
 
Huyu jamaa hata akifika 2015 kwa muonekano wake tu hataziweza kampeni.


Mbona JK aliweza pamoja na kuzimia zimia kila mara? Halafu ile ambullance inayomfuataga nyuma kwenye misafara yake huwa imebeba dripu????.

Lowasa atakuwa malaloni by 2015 waganga kule Mbeya wameenda Zambia kufanya mkakati wa kulipiza kisasi kwa sababu ya Mwakyembe
 
Kuna tetesi kuwa Mbunge wa Monduli CCM, Edward Ngoyai Lowassa anaumwa sana na amepelekwa matibabu Ujerumani, Mwenye taarifa sahihi atujuze............ nawasilisha.

EL haumwi kama tetesi zinavyosema, afya yake ni nzuri sana, kwa muda wa zaidi ya mwaka amekuwa aki attend clinic ya macho ujerumani, aliwahi kufanyiwa matibabu ya macho huko (sisi ma layman tunasema kukwangua macho) sasa huwa anakwenda kwa ajili ya followup visits ili mkuangalia maendeleo yake
 
Kuna tetesi kuwa Mbunge wa Monduli CCM, Edward Ngoyai Lowassa anaumwa sana na amepelekwa matibabu Ujerumani, Mwenye taarifa sahihi atujuze............ nawasilisha.
aahah kumbee.:A S-coffee:
 
Augue pole na tuache tofauti zetu za kisiasa ni binadamu alie umbwa na Mungu kama ss!!!
 
Kuna tetesi kuwa Mbunge wa Monduli CCM, Edward Ngoyai Lowassa anaumwa sana na amepelekwa matibabu Ujerumani, Mwenye taarifa sahihi atujuze............ nawasilisha.

We unafurahia lowasa kuugua? Shetan mkubwa wewe
 
Auae kwa upanga atakufa kwa upanga

Kwani ile sumu aliyowekewe Mwakyembe ndiyo hiyo hiyo inayumsumbua EL? Ila mimi sitaki afe nataka apone kwani shauku yangu ni kumuona siku moja yeye na best wake wa zamani baba Mwanaasha wakiwa wamevalia zile sare za jela, lazima watapendeza sana.
 
kule kyela kuna watu wanaitwa nyamanyafu
inasemekana wana uchawi kwenye damu wakikutazama tu kama kuna kitu uliwakosea wewe umeumia, huenda nao ndio sababu ya kumwita EL kule kyela ili wakamuulize ni kisa gani cha kummaliza mwana wao.

Wazee wa kyela onwork.
Ivi wamekutana na raisi kweli?au ndio wanatuma salamu zao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom