lisemwalo lipo,hali ya kiongozi yule ni mbaya hata ukimtizama tu unagundua,nilipata bahati ya kukaa nae karibu mahali hivi karibuni,nilisikitika sana kwa kweli kwa jinsi nilivyomfahamu mheshimiwa kabla na kwa muda mrefu kumuona kabadilika vile roho iliniuma sana,lakini ndio hivyo binadamu sisi si mali kitu ni vema tumrejee mungu na kumuomba sana hii dunia tunapita tu tusijisahau sana.
mungu ampe nafuu haraka.
Duh, yeye si mwana Appollo
hivi mlio karibu nae bado ana kiu ya kupanga magogoni?
tuliambiwa mgonjwa hoi humu
halafu tukaambiwa amesimamia zoezi la kumchagua sumari awe mgombea wa ubunge ccm
na sasa tunaambiwa yupo ujerumani mgonjwa
sijui what to believe now
Tuliambiwa mgonjwa hoi humu
halafu tukaambiwa amesimamia zoezi la kumchagua Sumari awe mgombea wa ubunge CCM
na sasa tunaambiwa yupo Ujerumani mgonjwa
sijui what to believe now
Kwani kwenda magogoni shida iko wapi? Anayeshi pale sasa hivi ana uzima gani? Mara haishi kudondoka majukwaani...unadhani hizo ziara za kila siku za ughaibuni bure? Mwombeeni EL apone arudi kuendeleza mapambano