NAIPENDA TANZAN
Member
- May 26, 2011
- 84
- 17
kama ni kweli tuandae nyimbo
nimeipenda idea yako, sasa naanza kuimba. Kama sio juhudi zako lowasa, kama sio juhudi zako lowasaaaa, umaskini ungetoka wapiiiii???
kama ni kweli tuandae nyimbo
Umaskini wako ni wa kurithi kutoka kwa wazazi wako na sio Lowasa.nimeipenda idea yako, sasa naanza kuimba. Kama sio juhudi zako lowasa, kama sio juhudi zako lowasaaaa, umaskini ungetoka wapiiiii???
Dah hivi alibadiri walitaja majina au wali generalise!Kuna tetesi kuwa Mbunge wa Monduli CCM, Edward Ngoyai Lowassa anaumwa sana na amepelekwa matibabu Ujerumani, Mwenye taarifa sahihi atujuze............ nawasilisha.
Thread ya 2012 hiiDah hivi alibadiri walitaja majina au wali generalise!
Yaani unawaza mabaya hata tr kuangalia hutaki.Dah hivi alibadiri walitaja majina au wali generalise!
Siamini kama roho mbaya kumpita shatani kiasi hiki??? Yaani unatamani mtu afeee,na unaeleza hisia zako za kishetani bila hata aibuuuuu????'ombea adui yako....Mungu amwite(afe EL)mapema mnyonyaji,fisadi,mbinafsi,mu...ananiudhi
Tukuulize wewe Kamandahivi mlio karibu nae bado ana kiu ya kupanga magogoni?
Kamanda upo?Huyu jamaa hata akifika 2015 kwa muonekano wake tu hataziweza kampeni.
Mishahara ya watumishi ndii inatrend mkuu.Tukuulize wewe Kamanda
Leo mnaye huko chadomo"{Only with your eyes shall you look and see the reward of the wicked."..................Psalms 91:8
Mungu amuinue na kumrejeshea afya njema.Kuna tetesi kuwa Mbunge wa Monduli CCM, Edward Ngoyai Lowassa anaumwa sana na amepelekwa matibabu Ujerumani, Mwenye taarifa sahihi atujuze............ nawasilisha.
Makamanda banaKwani ile sumu aliyowekewe Mwakyembe ndiyo hiyo hiyo inayumsumbua EL? Ila mimi sitaki afe nataka apone kwani shauku yangu ni kumuona siku moja yeye na best wake wa zamani baba Mwanaasha wakiwa wamevalia zile sare za jela, lazima watapendeza sana.
hivi mlio karibu nae bado ana kiu ya kupanga magogoni?
Juzi si kulikuwa na thread yake humu kuwa sms zake zimekamatwa na TAKUKULU kuhusu kugawa pesa Arumeru leo tena yupo Ujerumani anaumwa Stroke.
Sawa KamandaMishahara ya watumishi ndii inatrend mkuu.
Sauli alishakuwa Paulo.
Utatangulia wewe Kapo Jr na EL ataishi mshenzi mkubwa umaskini kwani kasababisha yeye? Umekwama kimaisha na kiakili pia'ombea adui yako....Mungu amwite(afe EL)mapema mnyonyaji,fisadi,mbinafsi,mu...ananiudhi
Mzee hii Ni taarifa ya mwaka 2012Mungu amuinue na kumrejeshea afya njema.
Leo unampigia tarumbetaLaana za kumpa SUMU Mwakyembe zinamwandama huyo.Na Mungu analipa hapa hapa duniani
mkaona bora mumchukue?hivi mlio karibu nae bado ana kiu ya kupanga magogoni?