Lowassa hawezi "Magufulika"

Status
Not open for further replies.

Mr Chin

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
4,625
1,024
Wasanii wa Bongo flava wakipiga push up kumuunga mkono Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye uwanja wa Karangalala.
 
hv hao wasanii wamefikiria iwapo lowassa atashinda itakuaje!?kuna yeyote kati yao analipa paye?!?
 
mie nikiwa naumwa sitakifanya kazi yoyote hata ya kufikiri, labda urais tu!
 
hv hao wasanii wamefikiria iwapo lowassa atashinda itakuaje!?kuna yeyote kati yao analipa paye?!?

Usisumbuke na watoto wa kiume waliojichubua na kutoboa masikio. Hata Mungu mwenyewe amewasusa na kuwaacha wajiongoze wenyewe. Nchi hii haitajengwa na FIESTA, tunahitaji vichwa vinavyowaza MIRADI na sio MASHAIRI
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…