Lowassa, hawa vijana watakuua kabla ya 2015

Lowassa, hawa vijana watakuua kabla ya 2015

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,018
Reaction score
20,489
Sipendi nikuite mheshimiwa, kwakuwa sifa ya uheshimiwa uliipoteza tangu ulipogundulika kuwa wewe ni mwizi, wizi wako ulijidhihirisha kupitia Richmond na ukajiuzuru, mimi na familia yangu tulikuvua vyeo vyote vya heshima ya uheshimiwa huwa tunakuita Bwana,

Bwana Lowasa, natambua unajua hawa watu walivyotegeshwa kiustadi kuizima ndoto yako, na kama hujui basi unaowaona ni wasadizi wako hawakupi habari za kweli.

Vijana wamelishwa yamini kuhakikiha wanaizima ndoto yako, hakika hili linaniuma sana kwakuwa kuzima ndoto ya mtu ni chukizo mbele za muumba wa Bwana Lowasa,

Nawaona wanejianda tena wamekwenda mpaka masinagogi kujipatia nguvu na ujasili wa kukuchinja iwe usiku ama mchana lazima ufe kabla ya 2015, hilo niagizo kuu japokuwa hamkukutana siku ile darajani Kigamboni,

Wameshika visu hata majambia kuivunja ndoto yako, kwa hili inaniuma sana, hunijui sikujui ila nakufahamu nakwambia wazi utakufa kabla ya 2015, usinishushue kuwa "kwani wewe Mungu mpaka ujue kifo changu?" laaa hasha mie nasema utkufa ndoto yako tu.


Sasa wamekuita kwenye kikao cha ghahawa hapo kwa wajomba zangu wagogo, hiyo ni hatua ya kwanza tu kukuchinja kama beberu wa shughuli, hao wengine ni wasindikizaji tu lakini mlengwa ni weye,

Nasema kwako Bwana Lowasa, hawa vijana ni vichomi vya uhakika, umeweza kwa wenyeviti wa mikoa na makatibu kuhakikisha wanakula na kusaza kwako na kila pembe wakupigie makofi, lakini nakuhakikishie hawa vijana wao wanakula na kusaza toka magogoni kabisa na wamekabidhiwa rasmi kisu cha kukuchinjia.

Nape na Mwigulu hivi ni vichomi,imara kwako kuizima ndoto uliyotusimulia siku ile Monduli kwenye pilau.



Chadema tunasonga wala hatuna vichomi tena baada yakuvipiga duwa ya uhakika.

In Chadema we trust!
 
Sipendi nikuite mheshimiwa, kwakuwa sifa ya uheshimiwa uliipoteza tangu ulipogundulika kuwa wewe ni mwizi, wizi wako ulijidhihirisha kupitia Richmond na ukajiuzuru, mimi na familia yangu tulikuvua vyeo vyote vya heshima ya uheshimiwa huwa tunakuita Bwana,

Bwana Lowasa, natambua unajua hawa watu walivyotegeshwa kiustadi kuizima ndoto yako, na kama hujui basi unaowaona ni wasadizi wako hawakupi habari za kweli.

Vijana wamelishwa yamini kuhakikiha wanaizima ndoto yako, hakika hili linaniuma sana kwakuwa kuzima ndoto ya mtu ni chukizo mbele za muumba wa Bwana Lowasa,

Nawaona wanejianda tena wamekwenda mpaka masinagogi kujipatia nguvu na ujasili wa kukuchinja iwe usiku ama mchana lazima ufe kabla ya 2015, hilo niagizo kuu japokuwa hamkukutana siku ile darajani Kigamboni,

Wameshika visu hata majambia kuivunja ndoto yako, kwa hili inaniuma sana, hunijui sikujui ila nakufahamu nakwambia wazi utakufa kabla ya 2015, usinishushue kuwa "kwani wewe Mungu mpaka ujue kifo changu?" laaa hasha mie nasema utkufa ndoto yako tu.

Sasa wamekuita kwenye kikao cha ghahawa hapo kwa wajomba zangu wagogo, hiyo ni hatua ya kwanza tu kukuchinja kama beberu wa shughuli, hao wengine ni wasindikizaji tu lakini mlengwa ni weye,

Nasema kwako Bwana Lowasa, hawa vijana ni vichomi vya uhakika, umeweza kwa wenyeviti wa mikoa na makatibu kuhakikisha wanakula na kusaza kwako na kila pembe wakupigie makofi, lakini nakuhakikishie hawa vijana wao wanakula na kusaza toka magogoni kabisa na wamekabidhiwa rasmi kisu cha kukuchinjia.

Nape na Mwigulu hivi ni vichomi,imara kwako kuizima ndoto uliyotusimulia siku ile Monduli kwenye pilau.

Chadema tunasonga wala hatuna vichomi tena baada yakuvipiga duwa ya uhakika.

In Chadema we trust!


mtoa mada tangu nilipo ambiwa we ni ubwabwa hata town uliyejivika jina la nyerere huku wewe ni msafwa wa mbeya nikajua kweli huna akili kumbuka ulichopost hapa ni mpango wako wa mauaji ili uwasinizie uliowataja sasa ole wako e.l adhurike utajuta
 
Ndoto haifi wala haichinjwi. Nguvu ya umma haiwezi kuchinjwa na wachache. Tunahitaji Tanzania inayokimbizwa. Ikiongozwa na mtu akisema weee, uanguke chini na ujipime kama utaamka tena na kuendelea kwa kasi mpya ama uondoke. Kwa sasa rais haeshimiwi hata na wateule wake! Natamani serikali ya El ama ya Harison
 
To hate is to show you still care haijalishi hata usipomuita muheshimiwa after 2015 you better watch you tongue utakapo muongelea anawanyima usingizi sana nyinyi magwanda na vilaza wenu mnaowaita waheshimiwa sijui sugu,mwenyekiti wenu na wengineo bila ya kumsahau kanjanja wenu babu slaa na kidogo mwanasheria wenu anayezijua sheria ila anazichanganya changanya nazo zinamchanganya changanya
 
To hate is to show you still care haijalishi hata usipomuita muheshimiwa after 2015 you better watch you tongue utakapo muongelea anawanyima usingizi sana nyinyi magwanda na vilaza wenu mnaowaita waheshimiwa sijui sugu,mwenyekiti wenu na wengineo bila ya kumsahau kanjanja wenu babu slaa na kidogo mwanasheria wenu anayezijua sheria ila anazichanganya changanya nazo zinamchanganya changanya

Nape na Mwigulu unaijua kazi yao kwasasa ndani ya ccm??
 
lowasa anasafari ndefu sana kutimiza ndoto yake , zamani niliamini kuwa lowasa angeweza kupenya katika kinyang'anyiro cha uchaguzi ndani ya chama chake haijalishi uchaguzi umefanyika kihalali au kwa mbinu chafu, dhana yangu hii ilijengwa na sababu mbili au tatu, 1 ni kwamba lowasa anamtandao mkubwa sana ndani ya ccm na unampa nguvu sana ndio maana anafanya atakavyo, 2 kundi lake linanguvu kuu mbili (a) fedha (b) mbinu za kipropaganda ni kubwa kuliko wenzake. lakini kwa sasa naanza kupatwa na wasi wasi juu ya hii dhana, naanza kupata picha mpya mbili 1 lowasa huenda asipate nafasi kugombea ccm ila akakiathiri chama kwa kiasi kikubwa 2 kuondoka kwake kutaivuruga sana ccm huenda mgogoro huu ambao mbegu zake zinapandwa sasa hivi kwenye vikao vya ccm na kumwagiliwa na vijana wa ikulu vitaisambaratisha ccm. nawasilisha yangu
 
ni sawa maoni yako kabisa kama ccm wakitaka wafike malengo yao,watambueh lowassa ana nguvu kubwa saanaaa na yupo plattform saaanaa zaidi ya yeyote kwa sasa ndani ya ccm.
 
maana yake watamsokoine?
Watamkolimba?
watambilal?
Watamalima?
Watamnyerere?
Wata...?
 
Wewe nawe, tangu umevunjwa bikira basi unajifanya umejua kutukana. Haya maneno ya kuambiwa, hatari sana.


dad-says-youre-spying-us-online-hes-not-your-dad.jpg


mtoa mada tangu nilipo ambiwa we ni ubwabwa hata town uliyejivika jina la nyerere huku wewe ni msafwa wa mbeya nikajua kweli huna akili kumbuka ulichopost hapa ni mpango wako wa mauaji ili uwasinizie uliowataja sasa ole wako e.l adhurike utajuta
 
mods huu ni upuuzi,tunaomba huu uzi,uwondoe huyu ni muuwaji kabsa,leo imedhihirika!!!yeriko nyerere hii kaz hajaanza leo na hata hawa watu wanao uwawa kwny mikutano huu ni mpango mzma wa chadema kumtumia yeriko
 
Sipendi nikuite mheshimiwa, kwakuwa sifa ya uheshimiwa uliipoteza tangu ulipogundulika kuwa wewe ni mwizi, wizi wako ulijidhihirisha kupitia Richmond na ukajiuzuru, mimi na familia yangu tulikuvua vyeo vyote vya heshima ya uheshimiwa huwa tunakuita Bwana,

Bwana Lowasa, natambua unajua hawa watu walivyotegeshwa kiustadi kuizima ndoto yako, na kama hujui basi unaowaona ni wasadizi wako hawakupi habari za kweli.

Vijana wamelishwa yamini kuhakikiha wanaizima ndoto yako, hakika hili linaniuma sana kwakuwa kuzima ndoto ya mtu ni chukizo mbele za muumba wa Bwana Lowasa,

Nawaona wanejianda tena wamekwenda mpaka masinagogi kujipatia nguvu na ujasili wa kukuchinja iwe usiku ama mchana lazima ufe kabla ya 2015, hilo niagizo kuu japokuwa hamkukutana siku ile darajani Kigamboni,
YERICO HUNA AKILI KABISA.HATA ILE MADA YAKO YA ----- YA JANA NI PUMBA TUPU.HUNA LOLOTE NA HUTALIPATA,UTAISHIA KUNAWA.LOWASSA HUMUWEZI WE KANYONYE BADO MG'AA!!!!
 
mods huu ni upuuzi,tunaomba huu uzi,uwondoe huyu ni muuwaji kabsa,leo imedhihirika!!!yeriko nyerere hii kaz hajaanza leo na hata hawa watu wanao uwawa kwny mikutano huu ni mpango mzma wa chadema kumtumia yeriko

Soma ulichokiandika uone kama utakielewa.
 
Huyu mleta mada anajua siasa za kwenye kahawa,hujui undani wa siasa za ccm,hujui lolote
 
Back
Top Bottom