Kisesa Yetu
JF-Expert Member
- Aug 2, 2015
- 434
- 344
Kuna kitu nimeshindwa kukielewa..Nimesikia mgombea urais kwa ticket ya Chadema mh Edward Lowassa akisema kuwa anawaomba watu wa Dar wampigie kampeni kwa ndugu na marafiki walioko mikoani..Je hataenda mikoani kujinadi? Je, hii inaweza kuwa na uhusiano wowote na haliyake ya kiafya?