Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
alichofanya nwanakijiji ni elimu ya uzalendo.. na kama usipoelewa andishi hili utakuwa na matatizo hilo la promo sidhani maana naona kammaliza zaidi.Lowassa very soon atakua 'old news'
hata huko CCM hawamjadili tena
now wanamjadili Jaji Ramadhani na Makongoro na wengine
why Mwanakijiji unajaribu kumfanya aendelee kuwa 'relevant'?
au ni promo ya aina nyingine?
Pasco ndugu yangu acha kumsapoti huyu mmasai mwenzangu.. waachie kina ocampo four ambao wanapata vihela vya maandazi
Ahsanta.
Last edited by a moderator: