Lowassa azomewa na wanachama wa CHADEMA

:smokin::smokin::smokin::smokin:...Zimekulewesha hujielewi..huoni aibu..
 

uliandika uzi kama mwanalumbumba sasa unajitetea kama mwana cdm shame on u
 
He he heee!
Kauli ya boss wa wacheza kigodoro: Picha za kuungaunga/photoshop.

Mtaleta kila uzushi, lakini mabadiliko ni lazima.

Vote for UKAWA, vote for Lowassa.
 
Umejiunga 12 mwezi huu siku ya jumamosi mwaka huu 2015 lol maskini then post ya 11 ushuzi uashapewa buku 10 zako ndani ya Lumumba
 
Kwani hao marais waliopita ndio mungu unayemwabudu? Wewe tena ccm usiyejitambua
 
Memba wa jf kila siku lazima nijipatie habari za uhakika hapa .ila leo nawapa hai tu.
 
Unatakaje kwan.....kama raix ndio huyo hutak nenda malaw hukoo....ukawa ileeeeeeeee...inafungua mlango wa ikulu
 


Thekyu veree macheeee
 

Kweli ni mbururaaaaaaaaaa,tangu lini lowasa akazomewa na wanabadiliko?atazomewa na wanasisime tu,acheni kuja na vitu visivyo na mbele wala nyuma,tukue ss.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…