Lowassa azizima Mikumi, Prof Jay Ubunge tayari

Lowassa azizima Mikumi, Prof Jay Ubunge tayari

Kila tawi la FISIEMU limepewa sh 6,450,000 kwa ajili ya kufanikisha ushindi....MAWAKALA wa UKAWA wanatakiwa kuwa wazalendo kweli kweli
 
Huku Nkya tu kwa Mikumi!Endelea kudanganya wanywa viroba wenzio wa Chaggadema hapa JF!WATU WAMEENDA KUMSHANGAA "MSAGA SUMU"TU HATA MIMI NILIKUWEPO NA KAMA ANAJIAMINI AACHE KUTEMBEA NA MSAGA SUMU WA VIGODORO.


Yeye anatembea na mmoja nyie mnatembea na wangapi...?.
 
Huku Nkya tu kwa Mikumi!Endelea kudanganya wanywa viroba wenzio wa Chaggadema hapa JF!WATU WAMEENDA KUMSHANGAA "MSAGA SUMU"TU HATA MIMI NILIKUWEPO NA KAMA ANAJIAMINI AACHE KUTEMBEA NA MSAGA SUMU WA VIGODORO.

Jonas hawezi kushinda Mikumi. Ndio akina Yahaya wa Lady JD. Mikumi ni Prof Jay tu.

Vote for UKAWA; vote for Lowassa.
 
Huku Nkya tu kwa Mikumi!Endelea kudanganya wanywa viroba wenzio wa Chaggadema hapa JF!WATU WAMEENDA KUMSHANGAA "MSAGA SUMU"TU HATA MIMI NILIKUWEPO NA KAMA ANAJIAMINI AACHE KUTEMBEA NA MSAGA SUMU WA VIGODORO.

Nakuambia hivi NKya hashindi nakwambia au ile kata 1 kati ya kata ishirini inampa kiburi mtakuwa mmepagawa mapepo nyinyi jimbo la mikumi ccm hamna chenu kata zote za ukawa nyie mnakata moja tu alafu mnaota ndoto za mchana hapa eti mtashinda
 
Hata ccm wanajua mwaka huu wanatoka, ila wanajifariji kama ilivyo ada ya mwanadamu
 
Nimeikuta mahala
👇👇👇👇

Ukitaka kujua watu wazima wajinga wako wangapi Tanzania, usihangaike, subiri tarehe 25/10/2015. Kura atakazopata Magufuli ndio idadi ya wajinga wa Tanzania,maana mjinga hata akikosa dawa hospital na kumpoteza mwanae ataambiwa ni kazi ya Mungu. Tuma sms hii kwa wapiga kura kumi ili waepuke kuendelea kuwa wajinga kwa kuchagua matapeli wa CCM.Nami nimeanza na wewe!

🏃🏃🏃🏃🏃
 
attachment.php







attachment.php




attachment.php




Sasa hapa ni kijijini, na kule Jangwani kwa ccm ambako ni jijini, wapi kuna wananchi wengi?

Ccm kesho ageni. Kuanzia tarehe 26 ninajua mnaaza kugombana ninyi kwa ninyi tena vita vya aibu.

Majeshi mliyowaandalia UKAWa, Silaha za moto na magari ya delaya, vinakwenda kutumika kwenu na hkakuna UKAWA hata mmoja vitamhusu.

Mnachimba mashimo mtakayoingia wenyewe.

Nyavu mmezitega lakini tazama zawanasa wenyewe.

Mungu ni Mkuu sana tena ni Mwenye kuogofya!. Matendo yake yanatisha na Hekima Zake hazichunguziki!.

mkuu mungu anawaumbua hawa watu wala hawasikii!!
 
Naiona nchi ya Raha mbeleni. Ndugu zangu mtu asiyeamini mpaka sasa kwamba Tanzania mpya yenye neema imekaribia anahitaji maombi. Fulsa nyingi na mgawanyo wa madaraka utakwenda kuwakomboa Watanzania katika wimbi la umaskini. TUSIOGOPE MAANA MUNGU YUPAMOJA NASI.
 
Magufuli will definitely outclass Lowasa by huge margin during Sunday showdown
Inatakiwa uhalisia wa matukio Sio umahiri wa lugha ya kigeni,au ndo u ccm?tuambie kwa kinyakyusa pia
 
Piga kura linda kura ndio tulivyozoeshwa hivyo chaguzi zote zilizopita kwa nini leo tu kunakua na zengwe .
 
Kila tawi la FISIEMU limepewa sh 6,450,000 kwa ajili ya kufanikisha ushindi....MAWAKALA wa UKAWA wanatakiwa kuwa wazalendo kweli kweli
Hizo hela wameprint feki atayechukua atakutana na mkono wa sheria mbele. Watu hamuwezi fikiri tu hiyo jeuri ya kugawa milioni sita per tawi ccm wanapata wapi, feki hizo.
 
Ulikuepo wapi..? Acha unafiki sema mkutano umefanyika viwanja gani?

Huyo PROF FEKI Huwezi hata kumlinganisha na MWAKYOMBO ONESMO.Anafikiri kuhonga watu JEZI NA MIPIRA Ndo atashinda.Kwanza tumewachukuwa wote tumewapa UWAKAKA!Lazima wampige chini.
 
... hali inatisha jamani. ccm wangetumia mikutano ya kesho kutuandaa kisaikologia with the inevitable!
 
Back
Top Bottom