Lowassa azizima Mikumi, Prof Jay Ubunge tayari

Lowassa azizima Mikumi, Prof Jay Ubunge tayari

KESHOKUTWA TUNAENDA KUMPIGIA KURA EDWARD LOWASSA,kisha tunatafutana kumalizia weekend vizuriii...!!!

Tanganyikana;
Usisahau kumuarifu jirani yako naye amwarifu mwenzake. Kura yako ni lulu kwetu UKAWA. Angalia tu isiharibike
 
ccm washanza kuwatisha wananchi tayari wilayani tandahimba mkoani mtwara wamepeleka vifaru
 
usitegemee kukata ni kirahisi km ccm walivofanya pale ddma tunampa kura nyingi ht mkiiba zinabaki!!!!
 
Tanganyikana;
Usisahau kumuarifu jirani yako naye amwarifu mwenzake. Kura yako ni lulu kwetu UKAWA. Angalia tu isiharibike

Sawa mkuu siwezi kufanya kosa..sisi hapa nyumbani tutafunga kabisa nyumba asubuhiii tukampe kwanza Lowassa kura ndipo turudi home.
 
mwaka huu ccm ndio mtaisoma ha ha haaaaaa!!!!#!!!heiyaaaaaaa
 
Kifupi ili hela za tume zisipotee bure inabidi wamkabidhi tu jimbo Prof, hakuna haja ya uchaguzi
 
Leo UBUNGO... KUBENEA kajazaaa kajazaaaaa watu, ni shidaaaaaaa...!!!

Kila kona watu ni mabadilikoooooo... Lowassaaaaaaaaa...

✌✌✌👏👏👏🙌🙌🙌🙌🙌
 
Huku Nkya tu kwa Mikumi!Endelea kudanganya wanywa viroba wenzio wa Chaggadema hapa JF!WATU WAMEENDA KUMSHANGAA "MSAGA SUMU"TU HATA MIMI NILIKUWEPO NA KAMA ANAJIAMINI AACHE KUTEMBEA NA MSAGA SUMU WA VIGODORO.
 
attachment.php




attachment.php


Sasa hapa ni kijijini, na kule Jangwani kwa ccm ambako ni jijini, wapi kuna wananchi wengi?

Ccm kesho ageni. Kuanzia tarehe 26 ninajua mnaaza kugombana ninyi kwa ninyi tena vita vya aibu.

Majeshi mliyowaandalia UKAWa, Silaha za moto na magari ya delaya, vinakwenda kutumika kwenu na hkakuna UKAWA hata mmoja vitamhusu.

Mnachimba mashimo mtakayoingia wenyewe.

Nyavu mmezitega lakini tazama zawanasa wenyewe.

Mungu ni Mkuu sana tena ni Mwenye kuogofya!. Matendo yake yanatisha na Hekima Zake hazichunguziki!.

Mkuu Tabby;
Sasa hivi tuu Lizaboni na Mwanakijiji watasema hizo picha ni za Kongo DRC ngoja tuu uone. Mungu yuko upande wetu tumesha shinda tiyari
 
Huku Nkya tu kwa Mikumi!Endelea kudanganya wanywa viroba wenzio wa Chaggadema hapa JF!WATU WAMEENDA KUMSHANGAA "MSAGA SUMU"TU HATA MIMI NILIKUWEPO NA KAMA ANAJIAMINI AACHE KUTEMBEA NA MSAGA SUMU WA VIGODORO.

Ulikuepo wapi..? Acha unafiki sema mkutano umefanyika viwanja gani?
 
Na huyu msaga sumu hakuwepo huku mnafiki wewe
 
Huku Nkya tu kwa Mikumi!Endelea kudanganya wanywa viroba wenzio wa Chaggadema hapa JF!WATU WAMEENDA KUMSHANGAA "MSAGA SUMU"TU HATA MIMI NILIKUWEPO NA KAMA ANAJIAMINI AACHE KUTEMBEA NA MSAGA SUMU WA VIGODORO.

...poor propaganda!
 
Back
Top Bottom