Lowassa azidi kujikita kwenye siasa

Lowassa azidi kujikita kwenye siasa

do MBOWE hataki shilingi ipite pembeni kutoka bahari beach hotel mpaka bilcana
 
Imetumika milioni 30 hapo kama gharama ya kikao..... watu wanajua kutafuta....
 
Kwa wakati mtu husimama na kwa kipindi mtu huanguka - always remain in your bright dream
 
Mm ni CCM, ila mzee Lowassa nitakuheshimu daima na milele... una busara sana, hekima tele, una moyo mkubwa sana, CCM jua tulikupenda sana, kila mtu anajua, yote yamepita, MUNGU AKULINDE NA HARAKATI ZAKO HUKO UPINZANI...!!

Heshima yangu kwako iko daima, ingawa acha tu nifie CCM, sbb Chama ni kikubwa zaidi, ila mapenzi na heshima yangu unayo...!!!

Mungu akulinde Mzee Lowassa, tuna mengi ya kujifunza kwako, kwa miaka na miaka..!!
 
inawezekana mkuu lakini nimemuangalia Lowasa kabla wakati yuko CCM alikuwa na furaha na uso wenye tabasabu kila wakati...toka ajiunge na CHADEMA amepoteza furaha anaonekana na huzuni muda wote
Lakini kipindi yupo ccm ilikua haiishi mwezi tunasikia yupo ujerumani kutibiwa, na tangu ahame siku hizi sisikii tena, kweli kuwa ccm ni kujitakia matatizo ya kimwili na kiroho pia.
 
-->>IPO HAJA YA KUANZA KUIPIGANIA TUME HURU YA UCHAGUZI ASUBUHI NA MAPEMA HII,TUPATE TUME HURU KWANZA KABLA YA YOTE.....
Hata Uchaguzi usimamiwe na umoja wa mataifa CDM mtashindwa vibaya!! Hakuna atakayekubali tena udanganyifu wenu!!
 
Bado ana ndoto za kuwa Raisi!! Labda wa Simba achukue nafasi ya Aveva
 
Ameshaona udhaifu wa JPM,JPM ameshindwa kuleta kilichotarajiwa.
 
Mm ni CCM, ila mzee Lowassa nitakuheshimu daima na milele... una busara sana, hekima tele, una moyo mkubwa sana, CCM jua tulikupenda sana, kila mtu anajua, yote yamepita, MUNGU AKULINDE NA HARAKATI ZAKO HUKO UPINZANI...!!

Heshima yangu kwako iko daima, ingawa acha tu nifie CCM, sbb Chama ni kikubwa zaidi, ila mapenzi na heshima yangu unayo...!!!

Mungu akulinde Mzee Lowassa, tuna mengi ya kujifunza kwako, kwa miaka na miaka..!!


Duu!
 
LOWASA, ni homa ya jiji. Asemwapo, awapo, aongeapo basi upande wa pili huko LUMUMBA fc maarufu kama chama cha Makuti Tannzania (CCM) hupata mchecheto na kuanza kuhaha kama kuku wa mayai!
 
Kupoteza muda na pesa bure tu !!nashauri njia iliyotumika kumkata Dr slaa itumike pia kumkata Lowassa 2020 chama kipate mgombea anayevutia watu kama Lissu!!!

Endelea kuota ndoto za mchana, ikifika usiku utaona nini????

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom