Lowassa azidi kujikita kwenye siasa

Lowassa azidi kujikita kwenye siasa

Dahh kuna mtu ndani ya chama kapiga dili la kuwakodishia huo ukumbi safi sanaaa
 
Kupoteza muda na pesa bure tu !!nashauri njia iliyotumika kumkata Dr slaa itumike pia kumkata Lowassa 2020 chama kipate mgombea anayevutia watu kama Lissu!!!
lissu for 2025......N vigumu kunshinda sitting president kwenye uchaguzi 2020...mwache lowasa amalizane na magufuli
 
Kupoteza muda na pesa bure tu !!nashauri njia iliyotumika kumkata Dr slaa itumike pia kumkata Lowassa 2020 chama kipate mgombea anayevutia watu kama Lissu!!!
Usijitoe ufahamu dada yangu!

Hivi unajua kwamba mzee alikuwa amewakalisha? Huyu mzee ni tunu ya Taifa, kichwa kimejaa busara! Sasa naanza kukubali kwamba mvi ni hekima!!
 
Mwanasiasa adimu huyo..Wamemsema sana,wamemtukana sana. Lakini kutokana na hekima na busara alizo nazo anasonga mbele na hawajibu chochote. Mbaya sana unatumia fedha kumsema mtu kwenye media halafu hajibu kitu. Raisi wa mioyo ya watanzania walio wengi. Love u my president
usisahau pia hao waliomtukana ndo wanaompamba leo mpaka kufikia hata wewe kuvutiwa nae.
 
-->>IPO HAJA YA KUANZA KUIPIGANIA TUME HURU YA UCHAGUZI ASUBUHI NA MAPEMA HII,TUPATE TUME HURU KWANZA KABLA YA YOTE.....
 
Edward lowassa akizungumza na viongozi na wafuasi wa chadema toka ngazi za chini kwenye ukumbi wa Billicanas asubuhi ya leo

View attachment 376921 View attachment 376920
Kweli Mwenyekiti ni mtambo..
Naona kaamua kuonesha uwezo wa kusugua santuri kwa wadau..

Hii kali ya mwaka hii, mkutano wa CDM ndani ya disco...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] you guys are good
 
Back
Top Bottom