Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
Edward lowassa akizungumza na viongozi na wafuasi wa chadema toka ngazi za chini kwenye ukumbi wa Billicanas asubuhi ya leo
Acha kumsanifu; mwache akachunge mifugo yake, au tumuitie zuhura yunus aanze kumuonea.Edward Lowasa Mungu amzidi kumlinda ni huyo tunu
Asante sanaMwanasiasa adimu huyo..Wamemsema sana,wamemtukana sana. Lakini kutokana na hekima na busara alizo nazo anasonga mbele na hawajibu chochote. Mbaya sana unatumia fedha kumsema mtu kwenye media halafu hajibu kitu. Raisi wa mioyo ya watanzania walio wengi. Love u my president
Acha kumsanifu; mwache akachunge, mifugo yake, au tumuitie zuhura yunus aanze kumuonea.
Kuwa mshabiki sio kosa ila ushabiki unapokutia upofu wa mawazo ndo tatizo.Kuwa mjinga juu ya jambo fulani si kosa ila pale unaporuhusu ujinga kutawala sehemu ya maisha yako ni kosa lisilosameheka
mkuu hivi kwa nini kila nikimuangalia Lowasa usoni namuona hana furaha kabisa..Edward lowassa akizungumza na viongozi na wafuasi wa chadema toka ngazi za chini kwenye ukumbi wa Billicanas asubuhi ya leo
View attachment 376921 View attachment 376920
Amuangalie Mhe Salim Ahmed Salim alivyokuwa mvumilivu.mkuu hivi kwa nini kila nikimuangalia Lowasa usoni namuona hana furaha kabisa..
Wanasema wazungu "what you see is what you are" unaweza ukaona kitu kibaya kumbe wewe ndo mbaya "unaweza ukasema Fulani kanuna kumbe wewe ndo umenuna"mkuu hivi kwa nini kila nikimuangalia Lowasa usoni namuona hana furaha kabisa..
Mwanasiasa adimu huyo..Wamemsema sana,wamemtukana sana. Lakini kutokana na hekima na busara alizo nazo anasonga mbele na hawajibu chochote. Mbaya sana unatumia fedha kumsema mtu kwenye media halafu hajibu kitu. Raisi wa mioyo ya watanzania walio wengi. Love u my president
Kupoteza muda na pesa bure tu !!nashauri njia iliyotumika kumkata Dr slaa itumike pia kumkata Lowassa 2020 chama kipate mgombea anayevutia watu kama Lissu!!!
Wote wanapoteza pesaKati ya CHADEMA na wale wanaoshughulishwa na Tundu Lissu ni nani wanaopoteza pesa?
inawezekana mkuu lakini nimemuangalia Lowasa kabla wakati yuko CCM alikuwa na furaha na uso wenye tabasabu kila wakati...toka ajiunge na CHADEMA amepoteza furaha anaonekana na huzuni muda woteWanasema wazungu "what you see is what you are" unaweza ukaona kitu kibaya kumbe wewe ndo mbaya "unaweza ukasema Fulani kanuna kumbe wewe ndo umenuna"
Furaha unaitafsirije kwa kuchekacheka kama wa awamu ile?mkuu hivi kwa nini kila nikimuangalia Lowasa usoni namuona hana furaha kabisa..