Lowassa aweka mambo hadharani: Nitatoa uamuzi

Lowassa is politically more matured as compared to a neophyte Rostam. He has been in public service for more than three decades, enough time to make a reputable leader. Therefore he will, obviously, not hastily make a resignation move. And as he prepares to contend for 2015 elections, he needs an ample time to gather the essentials a canvasser is supposed to have.

May be one thing which you might not be aware is that Lowassa, with all his maturity in politics, has been 'made' by RA
 
Lowassa is politically more matured as compared to a neophyte Rostam. He has been in public service for more than three decades, enough time to make a reputable leader. Therefore he will, obviously, not hastily make a resignation move. And as he prepares to contend for 2015 elections, he needs an ample time to gather the essentials a canvasser is supposed to have.

Lowasa, "a reputable leader?" Wow that is something....he will never contend for 2015 elections....he has tainted his image long time ago and we know...wananchi sio wajinga kumfanya Lowasa kuwa Rais wao...bora nchi itawaliwe ....remained to be said to save my skin from ban
 
Mtu mzima kamwe hatishiwi nyau...., sioni dalili wala hofu machoni pake na kwa dhati namuona huyu ni tofauti na oscar salathiel kambona.

Tusubiri tuone.
 
Futa kauli mkuu kwasababu umemtukana mpaka Rais wa hii nchi
nchi hii ina rais??jk alisema mimba wanazopata wanafunzi ni kwa sababu ya kiherehere chao...afute kauli yake...gamba wewe huna kumbukumbu
 
zaidi ya habari ya richmond kwani lowasa ana jambo gani baya alilowafanyia watanzania, isije ikawa tunakurupuka tu kama kuku aliyekatwa kichwa!!

Kwahiyo hilo swala la richmond ni dogo sana ,mpaka afanye jingine ndo atakuwa amekosea sio?...kweli wewe ndo unaakili ya kuku.nyie ndo vijana mnaoangusha taifa hili t shirt na nyimbo za komba mnauza utu na kura zenu.pamoja na future za vizazi vyenu.
 
hilo nalo ni neno maana kuna zaidi ya hayo tuyajuayo, kumbuka alisema bungeni wakati akijiuzulu kuwa yeye ni kondoo wa kafara naamini yeye kambebea mzigo mkuu wa kaya...tutasikia mengi...
zaidi ya habari ya richmond kwani lowasa ana jambo gani baya alilowafanyia watanzania, isije ikawa tunakurupuka tu kama kuku aliyekatwa kichwa!!
 
Natamani sana kusikia akisema kile ambacho akina Mwakyembe walikificha kwa kogopa serikali yote kuanguka.

hichi ndio haswaaaa ninachosubiria nijue alimbebea nani mzigo adi ajiite kondoo wa kafaraaaa mkuu wa kaya ana kazi sana...
 
Hana cha kutueleza nasema hv akgombea urais kura yangu nitampgia bora hata nimpe pita kuga mzirayi.
 
Back
Top Bottom