Kati ya Mambo anayoyasisitiza Edward Lowassa kwenye Kampeni za kumnadi mgombea wa CHADEMA ni kuwa wananchi wa Mondululi wampigie kura mgombea wa chama hicho ili kumlindia heshima yake(yeye Lowassa)
Swali ni je ni heshima ipi hiyo Lowassa anaiomba kutoka kwa wananchi wakati Maisha anayoishi Lowassa na familia yake ni ya hali ya juu huku wakazi wenzake aliowaongoza kwa miaka ishirini wakiishi kwa maisha ya dhiki miaka yote. Jirani yake wa karibu kabisa eneo la NGARASH MONDULI MJINI hana huduma ya maji wakati kwa Lowassa maji yanabubujika masaa 24. Huruma ipi unaweza kumuonea mtu mbinafsi na mchoyo kama huyu?
Lakini swali kubwa la kujiuliza, tunapiga kura kumlindia mtu heshima au kumchagua kiongozi atakayeshughulika na kero za wananchi?
Wana Mobduli tujiongeze, muda wa kupelekwa pelekwa na Lowassa kama mazuzu umekwisha, ametunyanyasa sana ametudhalilisha sana na ametuonea sana. Inatosha
Swali ni je ni heshima ipi hiyo Lowassa anaiomba kutoka kwa wananchi wakati Maisha anayoishi Lowassa na familia yake ni ya hali ya juu huku wakazi wenzake aliowaongoza kwa miaka ishirini wakiishi kwa maisha ya dhiki miaka yote. Jirani yake wa karibu kabisa eneo la NGARASH MONDULI MJINI hana huduma ya maji wakati kwa Lowassa maji yanabubujika masaa 24. Huruma ipi unaweza kumuonea mtu mbinafsi na mchoyo kama huyu?
Lakini swali kubwa la kujiuliza, tunapiga kura kumlindia mtu heshima au kumchagua kiongozi atakayeshughulika na kero za wananchi?
Wana Mobduli tujiongeze, muda wa kupelekwa pelekwa na Lowassa kama mazuzu umekwisha, ametunyanyasa sana ametudhalilisha sana na ametuonea sana. Inatosha