Baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutangaza nia ya kugombea Urais, kasha kuungwa mkono wa Wabunge na wajumbe wengi wa Bunge maalum la Katiba, imezusha hofu kwa aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowasa, ambapo jana usiku aliwakaribisha waandishi wa habari nyumbani kwake kama njia ya kujuana na kubadilishana mawazo.
Hafla hiyo imefanyika nyumbani kwake mjini Dodoma na kushirikisha waandishi kutoka vyombo mbalimbali, kati ya mazungumzo hayo yualiegemea zaidi kujua namna siasa zinavyooonekana nchini na jinsi nafasi ya Urais inavyozungumza.
Njia hiyo ilipatia nafasi kufahamu nguvu za wapinzani wake zilivyo hasa Pinda ambaye amewavutia watu wengi kutokana na kuwa na sifa ya kutokuwa na makundi pamoja na tabia yake ya kufanya kazi kwa uadiulifu na maadili.
Hafla hiyo ambapo waandishi walikula na kunywa hawakutakiwa kupiga picha wala kutoa habari kwa kile kinachoelezwa ilikuwa kirafiki zaidi
Hafla hiyo imefanyika nyumbani kwake mjini Dodoma na kushirikisha waandishi kutoka vyombo mbalimbali, kati ya mazungumzo hayo yualiegemea zaidi kujua namna siasa zinavyooonekana nchini na jinsi nafasi ya Urais inavyozungumza.
Njia hiyo ilipatia nafasi kufahamu nguvu za wapinzani wake zilivyo hasa Pinda ambaye amewavutia watu wengi kutokana na kuwa na sifa ya kutokuwa na makundi pamoja na tabia yake ya kufanya kazi kwa uadiulifu na maadili.
Hafla hiyo ambapo waandishi walikula na kunywa hawakutakiwa kupiga picha wala kutoa habari kwa kile kinachoelezwa ilikuwa kirafiki zaidi