nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Kwa kweli kuna maisha baada ya uchaguzi lakini wanomtesa huyu Bwana kwa kutaka kura Mungu atawahukumu, Hasahasa daktari wake. Alipashwa kuwa kwenye matibabu na mapumziko ya kutosha sana sio nginjanginja hii.
haa haa kama jk alikuwa akizimiaa jukwaani mwaka 2010 na tulimpa kura. sembuse lowasaaaa....