Lowassa Atoshaa: Wajumbe wa NEC YA CCM Wanena

Lowassa Atoshaa: Wajumbe wa NEC YA CCM Wanena

Ccm walikubali mgombea binafsi kuwekewa Masharti. Moja likiwa ni ; mtu akijiondoa kwenye chama hataruhusiwa kugombea kama mgombea binafsi hadi after 5years baada ya kuhama. Wajumbe wote wa bmk waliopiga kura za ndio wote wakiwa wanaccm wakaunga mkono. Sasa huo ndo ulikuwa mtego wa ENL aliotegesha kupitia kwa Mzee wa Vijisent baada ya kujua majority ya NEC ya ccm wanamuunga mkono. Hivyo Sita membe; wasira, etc ndoto zao za urahisi ndo zimegonga mwamba.

Mkuu bado umelala nini? uchaguzi ujao ni katiba ya sasa ndiyo inatumika
 
Vijana wa lowasa wako kazini kama Dot connector , ocampo four na wengineo. Ngoja wenye kazi zetu tunapita tuwache mpige domo hapa kumkampenia Richmond Wenu fisadi papa!
 
Vijana wa lowasa wako kazini kama Dot connector , ocampo four na wengineo. Ngoja wenye kazi zetu tunapita tuwache mpige domo hapa kumkampenia Richmond Wenu fisadi papa!
Asante kwa kupita mkuu, eneza ujumbe sambaza upendo
 
Haiingii akili kabisa kwa mtu mwenye akili timamu kumpigia chapuo eti Edo awe raisi wa nchi hii, wakati kihasilia hafai ata kuwa jirani au kupanda nae gari moja. Ukiicheki record ya Edo utagundua kuwa huyu jamaa ni aina fulani ya Ebola katika uchumi wa nchi yetu. Cha kushangaza ni huyu anayetumia ID ocampo four kumpigia chapuo hili janga la taifa.

Ila mimi na familia yangu tunajivunia Mungu wetu na siku zote tunamtumaini yeye. na hata kama hiki kirusi kikipita najua kwa indicator aliyowashiwa na mwenye mamlaka tutafanya uchaguzi mwingine baada ya miezi michache na sio miaka 5.
 
Haiingii akili kabisa kwa mtu mwenye akili timamu kumpigia chapuo eti Edo awe raisi wa nchi hii, wakati kihasilia hafai ata kuwa jirani au kupanda nae gari moja. Ukiicheki record ya Edo utagundua kuwa huyu jamaa ni aina fulani ya Ebola katika uchumi wa nchi yetu. Cha kushangaza ni huyu anayetumia ID ocampo four kumpigia chapuo hili janga la taifa.

Ila mimi na familia yangu tunajivunia Mungu wetu na siku zote tunamtumaini yeye. na hata kama hiki kirusi kikipita najua kwa indicator aliyowashiwa na mwenye mamlaka tutafanya uchaguzi mwingine baada ya miezi michache na sio miaka 5.

Kama una amini katika Mungu kwa nini unabashiri ya kwamba kutakuwa na uchaguzi baada ya miezi michache? Imeandikwa usimuhukumu mwenzako na wewe usipate kuhukumiwa....
 
Maadili gani mabovu kuliko kuchukua mke wa mtu hata katika biblia imeandikwa usizini wala kufanya uasherati kama alivyofanya Slaa na Mbowe.

Mkuu ocampo four mimi kila siku ninajiuliza huyu babu ataenda kujijitetea vipi kwa mungu kwa kosa la kumuasi na kula kondoo alioahidi kuwachunga tena kwa kiapo.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani watu wamekalishwa hakuna mtu ambaye aliongwa na watu wa Lowassa hili wamsemee hakuna Bali kulikuwa na wapambe wa wagombea wengine walitembeza bahasha kila kona hili mtu wao asemwe lakini issue kubwa hauziki na hizo Pesa na zetu zimechotwa escrow Leo zimemewezesha watu kutangaza nia.......Lowassa anauzika bila kutoa Pesa kutokana na cv yake ya utumishi wa umma uliotukuka na ujasili wa kusimamia mambo kwa umakini.Leo tangia Lowassa haanze siasa ikimuliza taja tuhuma unadhani inamuhusu Edo utasikia Richmond wakati mkataba wake akusahini yeye na wala si yeye aliyeitafuta kampuni hiyo lakini yote mpaka Waziri Mkuu anajuzuru kampuni ya Richmond ilikuwa ajalipwa fedha yoyote...kama mtakumbuka Waziri Mkuu Edo alikuwa mtu wakwanza kuutilia shaka mkataba huo lakini mamlaka ya juu alimwambia auwache uendelee uko sahihi.Leo kuna ufisadi mkubwa sana wa escrow tena fedha zimeshatoka na zimewezesha watu Leo kutangaza nia kugombea urais.Ukweli utabainika tu Klia kona kila kundi katika jamii na watu wa mijini na vijiji msimamo wao Lowassa 2015..wanaccm wanahitaji mwenyekiti wao wa ccm taifa mwenye ushawishi na umakini Edoo.
 
Kwani ni lazima urais usakwe kwa kutumia rushwa?
 
The fear factor. Hofu kubwa imewaandama maadui wa Lowassa kiasi wameamua kuungana kumpiga vita Lowassa maana mmoja mmoja hawamuwezi na hata wakiungana hawatamuweza. CV na record ya utendaji ya Lowassa speaks for itself na huwezi kuilinganisha na hawa competitors wengine. Badala ya kulumbana bila data ni bora tuanza kuwachambua hawa wanaowania kwa record zao za utendaji na very soon tutaweza kupambanua wanaofaa na pumba. Tuweke vigezo bora sio political affiliations na propaganda za kipumbavu. nani katika hawa presidential; apirants kweli anaweza kuikamata nchi hii ya walalahoi na magoigoi na kuigeuza kuwa nchi yenye uchumi bora ya watu walioamka na wenye ari ya kusonga mbele? nani katika hawa ana record nzuri ya kumobilize watu wakajitambua na kusimamia maendeleo yao? Sitaki kuconclude discussions lakini ukweli ni kuwa Lowassa ni front runner na ndio maana anaatract a lot of love and hate simultaenously. hate ni kutoka kwa wale dhaifu wenye nia na uchu wa madaraka bila kuwa na track record nzuri ya kuisadia nchi yetu kufikia malengo yake makubwa bali ni tamaa tu ya kuona majina yao yakiandikwa katika historia na wengine kwa ajili ya tamaa ya kujitajirisha tu na wengine ili wapate nafasi ya kulipiza kisasi na kuwamaliza mahasimu wao wa kisisasa na hata kijamii! Lets wake up tumepoteza nafasi ya kutake off kwa kuruhusu wadandiaji na wasakatonge kutuongoza na kushusha potential na destiny ya nchi yetu...it is time now to get the real leader atutoe hapa na tupige hatua kubwa za kiuchumi na kijamii ambazo zitatransform nchi yetu kwa muda mfupi na kuleta maendeleo ya kweli kwa walio wengi...and the man fit for that position is no other than Lowassa.
 
Wagonjwa kama lowasa wanapelekwa hospitali kutibiwa siyo ikulu poor ccm
 
Kuna fisadi kama Dr Slaa aliyeiba mke wa mtu, kuna fisadi kama Mbowe aliyempa Gekul mimba?, kuna fisadi kama Mdee anayesaga wadada wadogo wadogo kwa kuwarubuni na posho za bunge?

Mhh mabwaku, watu jf mnadata kweli kweli, sasa anawasaga kwa jiwe au funguka mkuu
 
Wasiwasi wangu ikulu itahamia Ujerumani,baada ya kusema hayo sasa naenda kukimbia mchakamchaka .
 
Hapa kuna watu wanatafuta vyeo kwa nguvu sana. Wengine wana comment anakuja kushindana na Dr Slaa, hivi mmesikai Slaa anagombea? Lakini pia Nape wenu hamtaki pia Lowassa. Hela mlizoapata nyie zitawatokea puani hakika. Huyo Lowassa atakosa Urais. Hivi kwanini mna ununua uongozi? Mna agenda gani sasa?
 
Kuna fisadi kama Dr Slaa aliyeiba mke wa mtu, kuna fisadi kama Mbowe aliyempa Gekul mimba?, kuna fisadi kama Mdee anayesaga wadada wadogo wadogo kwa kuwarubuni na posho za bunge?

Mkuu, mapenz ni makubaliano...., ukijaliwa ulimi mzuri na utulivu, utayafurahia mapenzi.....

Uchu wa Madaraka ni jambo lingine!
 
Back
Top Bottom