jaywacnza JF-Expert Member Joined Sep 15, 2012 Posts 998 Reaction score 1,162 Oct 21, 2014 #161 Hakuna kiongozi wa CCM anaeweza kupambana na Dr slaa zaid ya Lowassa........ hv ni mm ndo niliyekwambia?
Hakuna kiongozi wa CCM anaeweza kupambana na Dr slaa zaid ya Lowassa........ hv ni mm ndo niliyekwambia?
O OgwaluMapesa JF-Expert Member Joined May 24, 2008 Posts 10,942 Reaction score 437 Oct 21, 2014 Thread starter #162 jaywacnza said: Hakuna kiongozi wa CCM anaeweza kupambana na Dr slaa zaid ya Lowassa........ hv ni mm ndo niliyekwambia? Click to expand... Ukimleta sijui Membe, Wassira, Sita au Mwigulu, mkuu nakwambia kabla ya misa ya kwanza kuisha tayari Dr.Slaa kashatangazwa mshindi wa 2015.
jaywacnza said: Hakuna kiongozi wa CCM anaeweza kupambana na Dr slaa zaid ya Lowassa........ hv ni mm ndo niliyekwambia? Click to expand... Ukimleta sijui Membe, Wassira, Sita au Mwigulu, mkuu nakwambia kabla ya misa ya kwanza kuisha tayari Dr.Slaa kashatangazwa mshindi wa 2015.
I instagramboy JF-Expert Member Joined Oct 16, 2014 Posts 1,521 Reaction score 346 Oct 21, 2014 #163 Kama urais imekuwa hivi bas kiukweli nami nitachukua form