kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 324
na silaa! Naye alikua chaguo la shetani! Kipindi mnampa promo!! Acha mungu kufananisha na Mbowe! Huyo ni chaguo la Mbowe na Mtei!!
Mimi sitaki Azam bwana...ngoja niende zangu tu mwenyewe nikaongeze mafuriko.
Kwa analysis yangu ndogo, mimi naona mambo matatu yamepaisha visibility ya upinzani nchini:
(1) Serikali kuendelea kuwa defensive pale wapoinzani wanapoibua vitu vinavyowakera wananchi ikiwemo ufisadi na dhulumati au maendeleo duni. Katika hali hii wananchi wanaona kuwa serikali haiwajali na inakumbatia ufisadi na dhulumati au maendeleoi duni.
(2) Mheshimiwa Spika Makinda kutoka CCM kuendesha bunge la Muungano kama idara ya CCM au ya serikali na kuwa anaegemea serikalini badala ya kuliongoza bunge likiwa ni nguzo ya kutunga sheria na kuishauri serikali.
(3) Mheshimiwa samuel Sita kuendesha bunge la Katiba kibabe na kutetea msimamo wa CCM na hivyo kuwafanya wapinzani kuungana na kuzaa UKAWA ambayo sasa inaisumbua serikali pamoja na CCM.
Tunajifunza nini: Mwanzo wa kidonda ni kipele au hata mbuyu ulianza mdogo kama mchicha!!
wewe kiboko !!!
Wacha maccm watangetange kwa kumchafua,maana wanaelewa nini kinaenda kuwapata
Si na wewe ulikuwa member wa bunge lile ukiiwakilisha geita
Unyama unyamani. ..sicheki na CCM mimi.
mgombea wa chadema anaanzia cuf ambako kuna ofisi na mwenyekiti katimuliwaasante wana cuf na umma kwa ujumla kwenda kumshuhudia huyo ibilisi ndani ya chama chetu, ila ninauhakika hamtafanya makosa siku ya uchaguzi. Umma wetu twamjua hasa nani ni adui yetu, kwa mbowe na huyu lowasa ndo tutamuimalisha adui yetu.
Hawa wakaskazini hawapo ikulu lakini watutesa hivi kwenye ajira nono na biashara, hakika wakienda ikulu wanaweza wakatuhamisha nchi. Tuwaache wajipigie kura wenyewe
Kwani mtaivunja TISS ya sasa na kuunda nyingine mkishika madaraka?
Kwani mtaivunja TISS ya sasa na kuunda nyingine mkishika madaraka?
Kuanzia leo CUF itakuwa kivutio kikubwa kwa Watanzania...... Lowassa ni zaidi ya mafuriko