Katika MIJAZANO Kama Hiyo HUWEZI Kuwakuta INTELLECTUALS Mkuu Na Hata Humu Humu Tulipo Ni Rahisi Mno Kumjua POPOMA au Siyo POPOMA. Kama Mwenyekiti Wao TAIFA Ni POPOMA ALIYETUKUKA Unashangaa Nini Sasa Mkuu Kuona Hilo NYOMI La Vibaka Na Wakabaji Hapo Buguruni? Na Kuna Mmoja Hapo Namuona Huyo Nyuma Ya Mwenye T- Shirt Nyekundu Ya Simba Mpaka Leo Namdai Na Nina RB Yake Alishawahi Kuniibia Wallet Yangu Mwezi Sasa Umepita. Huo Ni Uthibitisho Tosha Mkuu Na Ngoja Niendelee Kuwatambua Katika Hii Hii Picha Kwani Wapo Wengi Sana Hapo Nawajua.
acheni matusi vijana..
CHADEMA Na UKAWA Ni MAJINI.
Inategemea Huyo Mungu Ni Mungu Gani Mkuu Kwani India Mungu Wao Ni Ng'ombe Na Sisi Wazanaki Mungu Wetu Ni Yule Sokwe Aitwae MUHUNDA Na Kuna Wengine Mungu Wao Ni Simba Huku Wengine Mungu Wao Ukiwa Ni Mti Mkubwa Bila Kusahau Wengine Mungu Wao Ni Paka Na Wengine Ni Sanamu Na Joka Kubwa. Tunaomba Kujua Huyo Mungu Ambaye Chaguo Lake Ni Lowassa Ni Mwenyezi Mungu Huyu Huyu Asiyependa RUSHWA, CHUKI, VISASI, MAUAJI ( Namaanisha Kuwapa SUMU Akina Mwakyembe Na Mwandosya Ili Wafe Lakini Hawajafa Na Leo Bado Tunadunda Nao Mitaani ), TAMAA, USHIRIKINA ( Namaanisha Kuagiza Waganga Kutoka Nigeria, Senegal Na Mali Ambao Sasa Wamepangishwa Hotelini Sinza Na Wengine Bahari Beach Wakiendelea Kufanya Kafara Zao ) Na UMAFIA?
wa kwako najua hana na badala yake ameweka tu mota pale katikati na jenereta likiwa chini yake na switch ya kuwashia unayo wewe.
Nakaa najiuliza hivi kweli ndugu lowasa atasimamia misingi ya ukawa??? Je atasimamia Sera za chadema?
Upinzani unahitaji mabadiliko mengi mojawapo ni hili LA serikali tatu....
He muumini wa serikali mbili atasimamia hili au ataachia wananchi waamue??
Chana tu naona kama hakana thamani ni vunga. Imekuuma najua wewe ni act au ccm maozea ndo mna roho ngumu.Niandikie mtu aliye msafi sio mwizi hana skendo hata mmoja ndani ya ccm niichane kadi yangu ya c.d.m sasa hivi.
Lakini anapenda majambazi kama mumeo na ccm yake?
Sasa ni wazi nguvu ya Lowassa inazidi kuonekana hasa baada ya leo kutinga katika ofisi za CUF....
Kama hali ndio kama hivi, je kesho itakuwaje atakapoenda kuchukua fomu katika ofisi za NEC. Ambapo msafara utaanzia katika ofisi hizo za CUF saa tatu kamili asubuhi....
More pictures zinakuja.
CHADEMA Na UKAWA Ni MAJINI.
na silaa! Naye alikua chaguo la shetani! Kipindi mnampa promo!! Acha mungu kufananisha na Mbowe! Huyo ni chaguo la Mbowe na Mtei!!
Msijisahau sana. Numbers speak louder than words. Waliojiandikisha Dar es Salaam ni watu 2.8 million. Lakini waliojiandikisha Tanzania nzima ni 23.8 million. Kwa hiyo 21 million voters wapo nje ya Dar es Salaam. Mjipange sana na huyu ndugu yenu. CCM inashinda mapema sana kwa sababu mtandao wa upinzani ni dhaifu sana kila kona ya nchi. Ni makelele yasio na tija.