Lowassa ataweza kampeni kweli?

Lowassa ataweza kampeni kweli?

FLASH HIDER

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2012
Posts
397
Reaction score
508
Alipokuwa anatangaza nia kule Arusha Lowassa alihutubia kwa dk 20. Juzi Mbeya kahutubia kwa dakika 16, Arusha Dakika 7 na Zanzibar Dakika 11. Hivi huyu Lowassa ataweza kuhutubia mikutano ya Kampeni zaidi ya minne kwa siku?

Ataweza kuzunguka nchi nzima kama alivyokuwa anafanya Dr Slaa? Mwisho ataweza kuhutubia Bunge kwa masaa mawili hadi matatu? Ataweza kukagua paredi ya kijeshi? Mhhhh naanza kupata mashaka.
 
Sijawahi kumuona lOWASA akila hadharani. Nimesikia analishwa siku hizi. Hapo kwenye dhifa ya kitaifa akialikwa huko majuu iatakuwaje.. unaweza ukadhani nakashifu lakini just think critically.
 
Alipokuwa anatangaza nia kule Arusha Lowasa alihutubia kwa dk 20. Juzi Mbeya kahutubia kwa dakika 16, Arusha Dakika 7 na Zanzibar Dakika 11. Hivi huyu Lowasa ataweza kuhutubia mikutano ya Kampeni zaidi ya minne kwa siku? Ataweza kuzunguka nchi nzima kama alivyokuwa anafanya Dr Slaa? Mwisho ataweza kuhutubia Bunge kwa masaa mawili hadi matatu? Ataweza kukagua paredi ya kijeshi? Mhhhh naanza kupata mashaka.
Huo ndo ukweli kuwa lowassa atafutia tu watu lawama, but subiri matusi na kashfa Kutoka timu dodoki
 
hahahaha mkuu kwa sisi tunaomfahamu vema tunafahamu atapata wakati mgumu sana juu ya hilo....
 
Mimi pia na mtu ninaeamini kuwa afya ya mtu mara nyingi ni mapenzi ya Mungu. Lakini kwa hili la Lowasa sasa linanitisha kwani dalili zipo wazi. Watabibu tufumbueni macho.
 
Ingawa Mungu ndo anatupa uhai... tunapaswa kutumia busara na hekima wakati tunafanya maamuzi na ndo maana Mungu ametupa akili ya kichagua mema na mabaya
 
Alipokuwa anatangaza nia kule Arusha Lowasa alihutubia kwa dk 20. Juzi Mbeya kahutubia kwa dakika 16, Arusha Dakika 7 na Zanzibar Dakika 11. Hivi huyu Lowasa ataweza kuhutubia mikutano ya Kampeni zaidi ya minne kwa siku? Ataweza kuzunguka nchi nzima kama alivyokuwa anafanya Dr Slaa? Mwisho ataweza kuhutubia Bunge kwa masaa mawili hadi matatu? Ataweza kukagua paredi ya kijeshi? Mhhhh naanza kupata mashaka.

Huyo Rais anayestaafu alikuwa anatupotezea muda kwa kuhutubia muda mrefu mpaka tunashindwa kuelewa alilenga nini hasa. Yaani longolongo zinakuwa nyingi na maccm ndo mlivyo kwa kuwa na longolongo sana bila maamuzi.

Sisi tunadhani Lowassa anajali muda na anahutubia kwa malengo bila kuwapotezea wananchi muda wa kufanya mambo mengine ya maendeleo kwa taifa.

Maadam kichwa chake kiko poa na kinatoa mafikara ya maana, anafaa kuliongoza taifa. kumbuka Rais wa Algeria anatembelea wheelchair na alishinda uchaguzi katika wheelchair hiyohiyo, hivyo sidhani akili yako kama ni nzuri kiasi kwamba huwezi kutanabahisha ni kitu gani unataka kwa Rais unayemtarajia.

Kama ni maguvu mbona kila siku Kinana anabeba madumu ya maji na matofali ya kujengea katika sanaa za chama lakini amekuwa proved failure?

Ukikasirika shauri yako
 
Alipokuwa anatangaza nia kule Arusha Lowasa alihutubia kwa dk 20. Juzi Mbeya kahutubia kwa dakika 16, Arusha Dakika 7 na Zanzibar Dakika 11. Hivi huyu Lowasa ataweza kuhutubia mikutano ya Kampeni zaidi ya minne kwa siku? Ataweza kuzunguka nchi nzima kama alivyokuwa anafanya Dr Slaa? Mwisho ataweza kuhutubia Bunge kwa masaa mawili hadi matatu? Ataweza kukagua paredi ya kijeshi? Mhhhh naanza kupata mashaka.

Umeshawahi kufuatilia hotuba za Obama huwa zinakuwa za muda gani? Kinachotakiwa sio kuongea muda mrefu bali ni kuongea vitu vyenye mantiki. Hata hivo kampeni ni suala la utaratibu tu, lakini tumeshafanya maamuzi tunachosubiri ni tarehe 25 Oktoba tu.
 
Kwani lazima si uwamuzi wake tu acha kufuatilia vitu visivyokuwa vya msingi subiri Mapinduzi yanakuja
 
kama kuna mtu anajua kesho yake itakavyokuwa aseme..... kama ulivyojifunza kutumia simu na kompyuta mazingira yalivyokulazimu kujifunza.... nadahani pia mazingira yatamlazimu ajifunze kuongea mbele ya watu........
 
Huyo Rais anayestaafu alikuwa anatupotezea muda kwa kuhutubia muda mrefu mpaka tunashindwa kuelewa alilenga nini hasa. Yaani longolongo zinakuwa nyingi na maccm ndo mlivyo kwa kuwa na longolongo sana bila maamuzi.

Sisi tunadhani Lowassa anajali muda na anahutubia kwa malengo bila kuwapotezea wananchi muda wa kufanya mambo mengine ya maendeleo kwa taifa.

Maadam kichwa chake kiko poa na kinatoa mafikara ya maana, anafaa kuliongoza taifa. kumbuka Rais wa Algeria anatembelea wheelchair na alishinda uchaguzi katika wheelchair hiyohiyo, hivyo sidhani akili yako kama ni nzuri kiasi kwamba huwezi kutanabahisha ni kitu gani unataka kwa Rais unayemtarajia.

Kama ni maguvu mbona kila siku Kinana anabeba madumu ya maji na matofali ya kujengea katika sanaa za chama lakini amekuwa proved failure?

Ukikasirika shauri yako

Kwani hata Kibaki na Uzee wake si alifanya kampeni na kama unakumbuka alipata ajali ya gari siku za mwisho za kampeni na bado akawa Rais!!! Hawa CCM wako taabani bin vUUU!!
 
mnataka maneno mingi au utendaji? ata yuke rais wa Nigeria walisema hivyo hivyo mwisho wa siku akachaguliwa
 
Alipokuwa anatangaza nia kule Arusha Lowasa alihutubia kwa dk 20. Juzi Mbeya kahutubia kwa dakika 16, Arusha Dakika 7 na Zanzibar Dakika 11. Hivi huyu Lowasa ataweza kuhutubia mikutano ya Kampeni zaidi ya minne kwa siku? Ataweza kuzunguka nchi nzima kama alivyokuwa anafanya Dr Slaa? Mwisho ataweza kuhutubia Bunge kwa masaa mawili hadi matatu? Ataweza kukagua paredi ya kijeshi? Mhhhh naanza kupata mashaka.

Yule jamaa aliyeanguka pale jangwani wakati wa kampeni mbona alipewa kura?
 
Mwaka huu Lazima tumuokote lowasa chini kabisa akiwa chali kwa kushindwa kuendelea na kampeni.
 
Kichwa chake kipo poa???? umemsikia mtoto wake jana???
Hili watanzania tunatafuta bomu. litatulipikua siku yoyote.

Huyo Rais anayestaafu alikuwa anatupotezea muda kwa kuhutubia muda mrefu mpaka tunashindwa kuelewa alilenga nini hasa. Yaani longolongo zinakuwa nyingi na maccm ndo mlivyo kwa kuwa na longolongo sana bila maamuzi.

Sisi tunadhani Lowassa anajali muda na anahutubia kwa malengo bila kuwapotezea wananchi muda wa kufanya mambo mengine ya maendeleo kwa taifa.

Maadam kichwa chake kiko poa na kinatoa mafikara ya maana, anafaa kuliongoza taifa. kumbuka Rais wa Algeria anatembelea wheelchair na alishinda uchaguzi katika wheelchair hiyohiyo, hivyo sidhani akili yako kama ni nzuri kiasi kwamba huwezi kutanabahisha ni kitu gani unataka kwa Rais unayemtarajia.

Kama ni maguvu mbona kila siku Kinana anabeba madumu ya maji na matofali ya kujengea katika sanaa za chama lakini amekuwa proved failure?

Ukikasirika shauri yako
 
Suala siyo muda. Angalieni jamani, ninachkisema najua mnakiona ila ubshi wa kisiasa umewatawala.

Nadhani Watanzania wanahitaji Rais wa vitendo zaidi kuliko maneno mengi kama chiriku EL ni wa maneno machache na vitendo vingi sio kuwaweka watu masaa 2 huku unaongea pumba tupu
 
Back
Top Bottom