Lowassa atashinda urais, hili halina ubishi! CCM wanaona siasa kama soka!

Kweli mmeshaanza kuwa WAKIWA! Mnajulikana kuwa sample yenu ya watanzania mnaichukulia wapi... kama unaichukua kutoka katika ile jamii yetu fulani fulani...ambayo kwa hisia zenu mnazani kuwa watanzania wote wanafikiria hivyo hapo ndio mnapotoka nje ya Mstari na kupagawa...
Watanzania wengi hawapo Mijini..... hawapo kwenye vijiwe vya boda boda!! Wala sio kwenye Mabaa na vilabu vya Mtori..
Kama kawaida pia hawana access ya pro Chadema Jamii Forum na Mitandao ya kijamii mingine... Wanapatikana Vijijini ambako hata magazeti yanafika kwa Shida....
Kwa taarifa yenu Upinzani upo Kwenye Majimbo 211 kati ya 366...... MAGUFULI amefika physically katika Majimbo yote 211 ambayo yalikuwa na element ya upinzani na kufanikiwa kuwa karibu na wapigakura. Mpaka sasa 70% kutoka kwenye majimbo hayo watampigia MAGUFULI..... Na mwaka huu uwezekano wa viti vya upinzani kupungua Bungeni ni Mkubwa kutokana na twist ambayo UKIWA wanacheza!

Sijakuelewa hapo kwenye MAJIMBO 211 kati ya 366....
 
Jana nimeona kwenye TV sura za Magufuli, Kinana na JK kwa kweli hazina bashasha ile ya ushindi kama awali. Kwa vyovyote sasa hivi wanafikiria plan B baada ya uchaguzi. Ni vema hiyo plan wamshirikishe Mungu ili watumie busara itakayo wasababisha waishi kwa utulivu siku zao za maisha

Plan yao ngumu coz hata kukaa pamoja wajadili hilo ni ngumu coz wanasnitchiana,kama wameshaanza kujimegea mafungu ya kampeni kuna ushirikiano hapo tena,kila mmoja analinda chake,baba Riz yuko busy na mikutano ya nje ili walau akitoka aanzishe hata ka NGO ka kimataifa ka kulishia wajukuu zake
 
Mnashangaza sana! Kama mna uhakika wa kushinda, mbona hamuishi kuituhumu Tume na kuwataka watu wenu walinde kura kwa umbali wa mita200!
 
Kama wapiga kura ndio hawa tulio nao mtaani, basi hakuna shaka kuwa Lowassa atashinda urais.
Siasa sio soka kusema mpira dakika tisini au mpira huchezwa uwanjani!

Ukweli upo wazi, kila mtu anajionea mtaani sio mimi/sisi tu!

Huo ndiyo ukweli, hao unaowana ndo kura za Lowassa maana wote wamejiandikisha.

Tofauti na ule umati uliokuwa unamshangilia Slaa bila kuwa na shahada za kupigia kura.

NEC warekebisha daftari wakati muafaka, ushindi kwa Lowassa ni mapema asubuhi kama haki itatendeka.
 
nyinyi fisiem tunaomba mishahara yetu ya mwezi huu kodi mpunguze basi mkate asilimia nne tu basi ili tuwachague jaribuni bana u never know mnaweza kupata kura zetu.Kodi mnatukata kubwa mno huu ni uwizi wa waziwazi
 
Kweli mmeshaanza kuwa WAKIWA! Mnajulikana kuwa sample yenu ya watanzania mnaichukulia wapi... kama unaichukua kutoka katika ile jamii yetu fulani fulani...ambayo kwa hisia zenu mnazani kuwa watanzania wote wanafikiria hivyo hapo ndio mnapotoka nje ya Mstari na kupagawa...
Watanzania wengi hawapo Mijini..... hawapo kwenye vijiwe vya boda boda!! Wala sio kwenye Mabaa na vilabu vya Mtori..
Kama kawaida pia hawana access ya pro Chadema Jamii Forum na Mitandao ya kijamii mingine... Wanapatikana Vijijini ambako hata magazeti yanafika kwa Shida....
Kwa taarifa yenu Upinzani upo Kwenye Majimbo 211 kati ya 366...... MAGUFULI amefika physically katika Majimbo yote 211 ambayo yalikuwa na element ya upinzani na kufanikiwa kuwa karibu na wapigakura. Mpaka sasa 70% kutoka kwenye majimbo hayo watampigia MAGUFULI..... Na mwaka huu uwezekano wa viti vya upinzani kupungua Bungeni ni Mkubwa kutokana na twist ambayo UKIWA wanacheza!


Toka hapa, unatulishia mate!
 
Kama wapiga kura ndio hawa tulio nao mtaani, basi hakuna shaka kuwa Lowassa atashinda urais.
Siasa sio soka kusema mpira dakika tisini au mpira huchezwa uwanjani!

Ukweli upo wazi, kila mtu anajionea mtaani sio mimi/sisi tu!
Wake up Dude..Ndo kunakuchaaa....Amkaaaa.....
 
Mnashangaza sana! Kama mna uhakika wa kushinda, mbona hamuishi kuituhumu Tume na kuwataka watu wenu walinde kura kwa umbali wa mita200!

Mita 100 . mita 200 urefu wa viwanja viwili vya mpira hatutaweza kuona matukio. Unaituhumu tume ili iweze kutenda haki hata kwa vile vyama vidogo kama ACT.
 
Kwa hili namtetea.Ame-pinch kiasi cha kutosha kwa hiyo hahitaji ka-NGO kuwatunza wajukuu zake.Kwanza hilo sio jukumu lake.Akina Ritz na akina Miraji si wapo,ambao nao wame-pinch kiasi cha kutosha tu.Ka-NGO ni kuji-keep busy tu.
Plan yao ngumu coz hata kukaa pamoja wajadili hilo ni ngumu coz wanasnitchiana,kama wameshaanza kujimegea mafungu ya kampeni kuna ushirikiano hapo tena,kila mmoja analinda chake,baba Riz yuko busy na mikutano ya nje ili walau akitoka aanzishe hata ka NGO ka kimataifa ka kulishia wajukuu zake
 
Kuna dhana ya uadui umepandwa kati ya chama tawala dhidi ya upinzani
 
Back
Top Bottom