Kamjingijingi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2009
- 806
- 129
Mungu tusaidiw je
#hapa kazi tu......Kama wapiga kura ndio hawa tulio nao mtaani, basi hakuna shaka kuwa Lowassa atashinda urais.
Siasa sio soka kusema mpira dakika tisini au mpira huchezwa uwanjani!
Ukweli upo wazi, kila mtu anajionea mtaani sio mimi/sisi tu!
Out of 10 people, 8 say ccm out!
Kama umesikiliza hotuba ya Rais Kikwete leo huko Dodoma kuhusu kulinda kura mita mia 200, ndiyo utajua serikali ni nini! Serikali haina Saloon, bali magereza!
Kweli mmeshaanza kuwa WAKIWA! Mnajulikana kuwa sample yenu ya watanzania mnaichukulia wapi... kama unaichukua kutoka katika ile jamii yetu fulani fulani...ambayo kwa hisia zenu mnazani kuwa watanzania wote wanafikiria hivyo hapo ndio mnapotoka nje ya Mstari na kupagawa...
Watanzania wengi hawapo Mijini..... hawapo kwenye vijiwe vya boda boda!! Wala sio kwenye Mabaa na vilabu vya Mtori..
Kama kawaida pia hawana access ya pro Chadema Jamii Forum na Mitandao ya kijamii mingine... Wanapatikana Vijijini ambako hata magazeti yanafika kwa Shida....
Kwa taarifa yenu Upinzani upo Kwenye Majimbo 211 kati ya 366...... MAGUFULI amefika physically katika Majimbo yote 211 ambayo yalikuwa na element ya upinzani na kufanikiwa kuwa karibu na wapigakura. Mpaka sasa 70% kutoka kwenye majimbo hayo watampigia MAGUFULI..... Na mwaka huu uwezekano wa viti vya upinzani kupungua Bungeni ni Mkubwa kutokana na twist ambayo UKIWA wanacheza!
Lowassa ndiye atakayekuwa rais wa tano wa Tanzania, hali ndiyo ilivyo, mnaompenda Magufuli mfanyeni mwenyekiti wa CCM(opposition party to be), forget about Ikulu.