Lowassa atahadharisha magadi soda Engaruka

Lowassa atahadharisha magadi soda Engaruka

dhahabu inatumika kama mapambo mbona thamani yake ipo juu ??
hayo magadi yangekua dili kama unavyotaka kumaanisha watu wangekua washagawana vitalu acha uj.inga hebu changanya na zako
magadi matumizi yake hasa ni nini ukitoa kupikia

Duh! wewe mshikaji! Anyway ngoja nijaribu kukupa darasa! Dhahabu matumizi ya urembo nisehemu ndogo sana matumizi makubwa ya dhahabu yako kwenye mambo ya finance nchi nyingi huwa zinahifadhi dhahabu matani na matani kama usalama inapokuja kuna kushuka thamani kwa fedha kiasi cha fedha kupoteza thamani basi nchi nyingi hutumia dhahabu, ndio maana kila nchi huwa zinaweka Benki kuu dhahabu nyingi sana, matumizi mengine kwenye mambo ya microelectronics, dhahabu hutumiwa sana ktkna na tabia zake za kimetali kwenye simu yako mkononi kuna dhahabu Ag metal, kwenye computer yako kuna dhahabu, TV yako kuna dhahabu n.k hivyo Dhahabu ina matumizi makubwa sana!

Magadi kazi yake siyo kupikia ndugu yangu hizi ni chemicals kama umesoma Kemia ya form II nafikiri magadi ni sodium Carbonate (Na2CO3) na matumizi yake nikianza kuyaorodhesha hapa nitajaza kurasa lkn nakupa mfano sabuni za kufuilia (za unga) krb zote zinatengenzwa na Magadi soda, kwenye viwanda vya kutengeneza glass za aina mbali mbali unahitaji magadi soda, kwenye Viwanda vya kutengeneza karatasi unahitaji magadi soda, chemical industries zote zinahizaji magadi soda kwa kifupi matumizi ni mengi sana hivyo kwa kutumia tu Magadi soda Ghafi tunaweza kujenga viwanda hata ishirini TZ kwa matumizi mbali mbali na kuongeza thamani na kutoa Ajira (kwa hali ya kawaida) uhalisia wake wa kufanyika hapa kwetu hilo ni swala lingine lkn nimekwambia jinsi inavyopaswa kuwa!
 
Nilisikia katika taarifa ya habari Lowassa akisema kuwa wamasai wasiuze ardhi yao bali watakao kuja kuwekeza wawaambie wawagawie 70% ya hisa.

Najiuliza, ina maana wananchi wa Nyamongo wadai 70% ya hisa kutoka mgodini? Wananchi wa Lindi wadai 70% ya hisa kutoka Dangote, wananchi wa Mtwara wadai 70% ya hisa kutoka Petrobras?

Je, formula hii itatumika kwa Vodacom, Airtel, na TANAPA kwenyewe tunafanyaje?

Mimi nilitegemea angeshauri kupitia NDC wananchi wanunue hisa za kiwanda cha magadi, au mkuu alimaanisha nini hasa?

Mwenye shamba akipewa 70% ya hisa wananchi wengine walioko nje ya hilo shamba inakuwaje?
 
Ni propaganda za Uchaguzi! Ni yaleyale ya " Maisha bora kwa kila Mtanzania" na "Tanzania yenye neema, inawezekana" !!!! Ni timu moja hiyo,"Boyz II Men" !!!!
 
Safi sana Mh.Edward Lowassa kwa kutoa elimu ya maendeleo kwa wananchi hao...

Hakika ww ndie raisi unaestahili kwa taifa hili... we Love you Lowassa
 
Kweli we ni bulldog... maana mbwa hakuna anachokija zaid ya kickia wenzake wanabweka nae kufata mkumbo wakati hata hajui nini tatizo... umeshakalilishwa eti Lowassa mwizi
 
Yaani rasilimali zote zilizokuwepo Tanzania ameamua kuzungumzia magadi tu!! Na huyu ndiye anayetaka kuwa Rais wa Tanzania!!!

Shangaa na wewe sasa!

Kwamba madini yoooote yanayochezewa na kuchakachuliwa hayana maana naleo hii Magadi ya kwao huko ndo yamaana!

Uyu kweli ndo Mr.President (kama vibaraka wake wasemavyo). Nimemuona kwenye taarifa. Halaf ni amekaza ile mbaya as if hakuna kinachoendelea sehem zingine za migodi.

Buzwagi e.t.c kunawaka moto ilhali anaona. Hata alipokuwa PM kulikuwa Jehanam, akakaa kimya. Why today? Atupishe na Tz yetu. Hatutaki wahuni kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Duh! wewe mshikaji! Anyway ngoja nijaribu kukupa darasa! Dhahabu matumizi ya urembo nisehemu ndogo sana matumizi makubwa ya dhahabu yako kwenye mambo ya finance nchi nyingi huwa zinahifadhi dhahabu matani na matani kama usalama inapokuja kuna kushuka thamani kwa fedha kiasi cha fedha kupoteza thamani basi nchi nyingi hutumia dhahabu, ndio maana kila nchi huwa zinaweka Benki kuu dhahabu nyingi sana, matumizi mengine kwenye mambo ya microelectronics, dhahabu hutumiwa sana ktkna na tabia zake za kimetali kwenye simu yako mkononi kuna dhahabu Ag metal, kwenye computer yako kuna dhahabu, TV yako kuna dhahabu n.k hivyo Dhahabu ina matumizi makubwa sana!

Magadi kazi yake siyo kupikia ndugu yangu hizi ni chemicals kama umesoma Kemia ya form II nafikiri magadi ni sodium Carbonate (Na2CO3) na matumizi yake nikianza kuyaorodhesha hapa nitajaza kurasa lkn nakupa mfano sabuni za kufuilia (za unga) krb zote zinatengenzwa na Magadi soda, kwenye viwanda vya kutengeneza glass za aina mbali mbali unahitaji magadi soda, kwenye Viwanda vya kutengeneza karatasi unahitaji magadi soda, chemical industries zote zinahizaji magadi soda kwa kifupi matumizi ni mengi sana hivyo kwa kutumia tu Magadi soda Ghafi tunaweza kujenga viwanda hata ishirini TZ kwa matumizi mbali mbali na kuongeza thamani na kutoa Ajira (kwa hali ya kawaida) uhalisia wake wa kufanyika hapa kwetu hilo ni swala lingine lkn nimekwambia jinsi inavyopaswa kuwa!

Dogo ame'panic tu. Hakuwa na maana hiyo. Asante kwa elimu.

Yeye alimaanisha kama nilivyochangia/nilivofafanua kwenye mchango wangu huo hapo juu.(no.45)
 
Ukimwaga mboga na Mimi namwaga ugali, pale Natron kuna shida kidogo.
Hii ni vita kati ya fisadi na fisadi, hilo eneo mafisadi wanataka kujiibia siku nyingi sana kama wafanyavyo huko buzwagi, nyamongo, mtwara kwa gas, tembo twiga et al
 
Nilisikia katika taarifa ya habari Lowasa akisema kuwa wamasai wasiuze ardhi yao bali watakao kuja kuwekeza wawaambie wawagawie 70% ya hisa, najiuliza inamaana wananchi wa nyamongo wadai 70% ya hisa kutoka mgodini? wananchi wa lindi wadai 70% ya hisa kutoka dangote, wananchi wa mtwara wadai 70% ya hisa kutoka Petrobras?

Je formula hii itatumika na vodacom airtel, na tanapa kwenyewe tunafanyaje? Mie nilitegemea angeshauri kupitia NDC wananchi wanunue hisa za kiwanda cha magadi, au mkuu alimaanisha nini hasa? mwenye shamba akipewa 70% ya hisa wananchi wengine walioko nje ya hilo shamba inakuwaje?

Lowassa yuko right

Ni kitu inayowezekana na ambayo imeshatumika sehemu nyingine duniani
 
Shangaa na wewe sasa!

Kwamba madini yoooote yanayochezewa na kuchakachuliwa hayana maana naleo hii Magadi ya kwao huko ndo yamaana!

Uyu kweli ndo Mr.President (kama vibaraka wake wasemavyo). Nimemuona kwenye taarifa. Halaf ni amekaza ile mbaya as if hakuna kinachoendelea sehem zingine za migodi.

Buzwagi e.t.c kunawaka moto ilhali anaona. Hata alipokuwa PM kulikuwa Jehanam, akakaa kimya. Why today? Atupishe na Tz yetu. Hatutaki wahuni kabisa.

Wahuni wa CCM au unasemaje?
 
Nilisikia katika taarifa ya habari Lowasa akisema kuwa wamasai wasiuze ardhi yao bali watakao kuja kuwekeza wawaambie wawagawie 70% ya hisa, najiuliza inamaana wananchi wa nyamongo wadai 70% ya hisa kutoka mgodini? wananchi wa lindi wadai 70% ya hisa kutoka dangote, wananchi wa mtwara wadai 70% ya hisa kutoka Petrobras?

Je formula hii itatumika na vodacom airtel, na tanapa kwenyewe tunafanyaje? Mie nilitegemea angeshauri kupitia NDC wananchi wanunue hisa za kiwanda cha magadi, au mkuu alimaanisha nini hasa? mwenye shamba akipewa 70% ya hisa wananchi wengine walioko nje ya hilo shamba inakuwaje?

Wamasai wanaleta shida nchi hii.
Nao wakifika Mvomero , kabla ya kufikiriwa kupewa eneo la malisho, wakija na ng'ombe 1000, wawaachie wskulima ng'ombe 700(70%) ili wafikiriwe kukaa hspo.
Wanajisahau kuwa kile wanachodai nao watadsiwa kule waendako.
 
Wananchi tushadanganywa sana sana ardhi vijijini zinauzwa sana, Wakenya wanawatumia wanavijiji kununua ardhi. ...EnL anamaanisha kuwa Partnership katka ardhi na Kanuni yake ni kuwa lazima ifuate sheria na mwananchi mzawa ndo atapata 70% Twende na EnL kihalisia
 
Not so my dear, wao wanaposwaga ng'ombe nchi nxima kwenye ardhi isiyo yao, wanaacha uchache gsni?

Mkuu, then unareciprocate tu situation, na wao wakija kwako, unadai damage

Hii nchi itashika adabu pale ambapo kila kitu kitathaminishwa... wakila mahindi, unapiga valuation, unachukua ng'ombe wa gharama yako unamove on

Tanzania ni maskini kwasbabu ya ukosefu wa kurasimisha what we have na kuweka kila kitu kwenye nafasi yake
 
Back
Top Bottom