Lowassa atahadharisha magadi soda Engaruka

Lowassa atahadharisha magadi soda Engaruka

Edu anachokisema ni sahihi kimefanyika kwa NHC huko Dar-es-salaam kwenye kujenga Maghorofa yanayoporomoka, Matajiri wameiingia ubia na NHC,wao ndiyo wenye ardhi wanahisa 30% na Mbia ana 70%.
Nchi zenye kutaka kuwakomboa wananchi wao kutokana na umasikini hilo siyo wazo baya.

sasa kwanini NHC wasiwe na 70% wakati ndo wenye kiwanja (ardhi). kwanza hili la NHC sio mfano wa kuigwa matajiri wanachukua hati za NHC wanaenda kukopa bank ndo wanajenga yeti wanamiliki 70% inamaana siku bank wakiamua kuuza jengo tayari NHC atapoteza na kiwanja pia.
 
Na mbaya zaidi saizi NHC wanauza almost everything, my worry ni kama baada ya miaka 60 kutakuwa na NHC....... Wazo la mapato kadhaa ibaki kwenye eneo husika ni moja ya njia ya ukombozi kwa nchi masikini na hasa Tanzania ambayo kila mkoa kuna resources zinazoweza kuwa fully utilized...

miaka 60 ni mbali mno. hizo holiday za mabank zikiisha tu tutaanza kusikia vilio. mtu anakopa bil 10 bank anajengea bil 3 anasepa na 7 hata akilitelekeza jengo hana hasara NHC ndo watapoteza viwanja na hao hao ndo watakuja kwa mlango wa nyuma kuyanunua majengo hayohayo.
 
which is a very intelligent advice; watakua na say kwenye naeneo yao
it is unduly and blind man ideas. The Maasai are loitering all-over the country for their animals' pastures, who asked them to offer 70%. several times we have been saying that EL is immaterial asset for president, he always comments/speaks without researching. Analopoka.
 
it is unduly and blind man ideas. The Maasai are loitering all-over the country for their animals' pastures, who asked them to offer 70%. several times we have been saying that EL is immaterial asset for president, he always comments/speaks without researching. Analopoka.
shida yako ni kuwa one sided, maasai akifanya hivyo, na wewe mkwere ukasema ardhi yangu ni ya thamani as well na sitaki maasai aje alete ng'ombe wake wanyewanye hovyo kutakua na shida gani??

Nchi haziendelei kwa kutegeana na kunyoosheana vidole, zinaendelea kwa kufanya maamuzi na kutekeleza

Tuna shida sana watanzania, kupinga everything, and do nothing

i think wewe unaropoka kuliko yeye at this point

Mkapa aliwaambia, rasimisheni mlivyo navyo, mkakaa kimya sasa wamakonde wanapoteza rasilimali zao zote kwa wageni, if they had formal ownership na land yao, sasa wangekua wabia na sio waandamamaji

Tafuta hoja nyingine, but not this one
 
Yuko sawa anajuwa kutetea maslahi ya watu wake ndio maana misri ilikataa maji ya ziwa victoria uasitumike lkn lowasa akasema tanzania iyatumie na kweli yakatumika safi sana mamvi
 
shida yako ni kuwa one sided, maasai akifanya hivyo, na wewe mkwere ukasema ardhi yangu ni ya thamani as well na sitaki maasai aje alete ng'ombe wake wanyewanye hovyo kutakua na shida gani??

Nchi haziendelei kwa kutegeana na kunyoosheana vidole, zinaendelea kwa kufanya maamuzi na kutekeleza

Tuna shida sana watanzania, kupinga everything, and do nothing

i think wewe unaropoka kuliko yeye at this point

Mkapa aliwaambia, rasimisheni mlivyo navyo, mkakaa kimya sasa wamakonde wanapoteza rasilimali zao zote kwa wageni, if they had formal ownership na land yao, sasa wangekua wabia na sio waandamamaji

Tafuta hoja nyingine, but not this one
wote ni haohao mnaolopoka bila kufanya utafiti. Ukienda huko unakosema makonde wana hati miliki nyingi sana kuliko kwa huyo mlopkaji wenzio wa 70%. Kama ungelifanya utafiti usingezungumza wamakonde. Nenda vijiji vya mkoa wa mtwara & lindi kama Miungo, mitonji, Ulungu, Mapanyani, chikunji, chiwambo, mbuyuni, mijelenjele, mnopwe, mpulima, kivukoni, mkutimango, namisango, Namanjelele, mpulima, mtengula, mkahara to mention a few. Wanazo hati miliki za ardhi nyingi sana, kuliko huko umaasaini ambako hawajui hata mipaka ya mashamba yao.
 
wote ni haohao mnaolopoka bila kufanya utafiti. Ukienda huko unakosema makonde wana hati miliki nyingi sana kuliko kwa huyo mlopkaji wenzio wa 70%. Kama ungelifanya utafiti usingezungumza wamakonde. Nenda vijiji vya mkoa wa mtwara & lindi kama Miungo, mitonji, Ulungu, Mapanyani, chikunji, chiwambo, mbuyuni, mijelenjele, mnopwe, mpulima, kivukoni, mkutimango, namisango, Namanjelele, mpulima, mtengula, mkahara to mention a few. Wanazo hati miliki za ardhi nyingi sana, kuliko huko umaasaini ambako hawajui hata mipaka ya mashamba yao.

hahahaaaa, you are such an a$$... sasa unakubali umuhimu wa hati miliki, na kutolea mifano kabisa, and then hutaki hilo litokee kwa wamasai

mpuuzi kweli wewe... Maasai will benefit kwa kumiliki ardhi, they will change the way they herd their cattle and will benefit more kwa modern management ya kilimo cha wanyama

Wewe ni boya kweli... umejiingiza kwenye mkenge kipumbavu sana
 
Hilo jina hilo... Mzee alikua mtu wa maana sana Tanzania

Ni kweli. Pamoja na umaana wake, hakuwahi kuvumilia wezi au kuwashadadia kama mnavyompetipeti Lowasa(Fisadi).

By the way, hili ni jina langu la kitofu(Ki'mila). So, don't panic
 
Ni kweli. Pamoja na umaana wake, hakuwahi kuvumilia wezi au kuwashadadia kama mnavyompetipeti Lowasa(Fisadi).

By the way, hili ni jina langu la kitofu(Ki'mila). So, don't panic
kweli kabisa... CCM ni wezi sana, litendee haki jina
 
Safi sana Mh.Edward Lowassa kwa kutoa elimu ya maendeleo kwa wananchi hao...

Hakika ww ndie raisi unaestahili kwa taifa hili... we Love you Lowassa
Raisi mtarajiwa wa monduli
 
Mzee wa kuthubutu, mwenye uwezo wa kuvunja mikataba ya kilaghaia kujali nini wasioitakia mema nchi yetu watasema.
Angekuwa na huu uwezo wa kudhibiti mikataba ya kilaghai ungekuta ni waziri mkuu mpasa sasa
 
Lowasa hana sifa za kuwa raisi wa Tanzania labda raisi wa WAMA
 
Kagawa tshirts nchi nzima eti zimeandikwa "friends of lowassa" mwizi mkubwa wa mali ya umma aende zake watanzania hatumtaki.
 
Dah,bora maana na soda zitashuka bei,maana hili joto la Dar na Azam cola hazishikiki lol.Najua sasa soda zitashuka mpaka sh500 kwa mil350.
Ahsante Mungu,Ahsante kua mtanzania.

Wewe jitoe ufahamu tu
 
Lowasa hana sifa za kuwa raisi wa Tanzania labda raisi wa WAMA




Kagawa tshirts nchi nzima eti zimeandikwa "friends of lowassa" mwizi mkubwa wa mali ya umma aende zake watanzania hatumtaki.




Wewe jitoe ufahamu tu




Angekuwa na huu uwezo wa kudhibiti mikataba ya kilaghai ungekuta ni waziri mkuu mpasa sasa




Labda raisi wa WAMA




Raisi mtarajiwa wa monduli




kweli kabisa... CCM ni wezi sana, litendee haki jina




Kauli ya Mwalimu Nyerere Kuhusu Lowassa:

"Hapa hatuchagui mtu maarufu, tunachagua mtu safi na huyu si safi.Kama unapenda sura yake basi nenda kanywe naye chai. Wengine mnasema aaah ni tuhuma tu. Samuel (Sitta)! Yusuf (Makamba)! Mnasimama hapa mnasema ni tuhuma tuhuma tu! Lakini mtakumbuka mke wa Kaisari alipotuhumiwa kwa ugoni Kaisari akaagiza uchunguzi ufanyike. Uchunguzi ukafanyika na ikabainikakwamba sio kweli. Lakini Kaisari bado akamuacha, akasema mke wa Kaisari hapaswi hata kutuhumiwa. Na sisi hapa Mgombea wetu hapaswi hata kutuhumiwa wakati wapo wengine safi ambao hawana tuhuma. Kama mkimteua huyo mimi sitapiga kampeni. Siko tayari kumsafisha mtu matope halafu ndio nimuombee kura. Hapana kabisa. Huyu mimi najua si msafi na nchi nzima inajua si msafi. Hafai kuwa mgombea wetu."
- Mwl. Julius Nyerere, NEC Dodoma, Juni 1995
 
Back
Top Bottom