Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,152
- 10,683
Kauli ya Mwalimu Nyerere Kuhusu Lowassa:
"Hapa hatuchagui mtu maarufu, tunachagua mtu safi na huyu si safi.Kama unapenda sura yake basi nenda kanywe naye chai. Wengine mnasema aaah ni tuhuma tu. Samuel (Sitta)! Yusuf (Makamba)! Mnasimama hapa mnasema ni tuhuma tuhuma tu! Lakini mtakumbuka mke wa Kaisari alipotuhumiwa kwa ugoni Kaisari akaagiza uchunguzi ufanyike. Uchunguzi ukafanyika na ikabainikakwamba sio kweli. Lakini Kaisari bado akamuacha, akasema mke wa Kaisari hapaswi hata kutuhumiwa. Na sisi hapa Mgombea wetu hapaswi hata kutuhumiwa wakati wapo wengine safi ambao hawana tuhuma. Kama mkimteua huyo mimi sitapiga kampeni. Siko tayari kumsafisha mtu matope halafu ndio nimuombee kura. Hapana kabisa. Huyu mimi najua si msafi na nchi nzima inajua si msafi. Hafai kuwa mgombea wetu."
- Mwl. Julius Nyerere, NEC Dodoma, Juni 1995
Mkuu hii mada inahusianaje na Lowassa kuwa rais?? mbona unaweweseka?
Didi you take time to learn what is written na mleta mada??
Engaruka na urais vinaingilianaje??
You are really an a$$hole