Nyie mnatumia ngapi kwa pushup? Hata jana nilimwona anawasotesha mashehe Zanzibar! Ngoja washindwe shughuli za nyumban kama atapata kura za akina mama
Wenzako wametangulia kabla yake, naona na wewe unamwita zrael kwa nguvu
may god bless u and try to teach otherHuyu mzee simpendi,lakini huwa sioni kama ni jambo la busara kumsimanga afya yake,suala la kuwa mgonjwa halijalish wewe ni tajiri au maskini.tumponde kwa mengine lakini mambo ya afya yake tumuachie yeye na mungu wake.