Lowassa apumzike, Magufuli aendelee na kampeni

Lowassa apumzike, Magufuli aendelee na kampeni

Inatia hasira sana.Lowassa akipanda anaonge dakika 15 na Mh.Pombe Magufuli anaongea weee. ana rudia wee.Mafisadi Jela Mafisadi Mwisho.Alafu bado Malofa ni Lowasa Lowasa. hii ni hatari na inatia hasira sana .Itabidi mkazo uongezwe kwa kutumia Jeshi Sasa
 
Kuwa mkweli tu...labda jamaa kashashindwa kampeni.kwa sababu ya afya
 
Watanzania walishaeleea Somo LA Lowassa hata Haina Sababu ya Kuongea Maneno Mengi.Magufuli Aendelee Kujieleza kwa Maana Watanzania Hawajamuelewa Name Hawatamuelewa na CCM yake
 
Inatia hasira sana.Lowassa akipanda anaonge dakika 15 na Mh.Pombe Magufuli anaongea weee. ana rudia wee.Mafisadi Jela Mafisadi Mwisho.Alafu bado Malofa ni Lowasa Lowasa. hii ni hatari na inatia hasira sana .Itabidi mkazo uongezwe kwa kutumia Jeshi Sasa

watanzania wamechoka maneno mengi wanataka vitendo mkuu...
 
Eti dodoma wakiichagua tena ccm tatizo la maji litakuwa history!!!!..., kweli???

Waliojitokeza kwny mkutano wa chang'ombe dodom malory yalihusika,inashangaza kwny ngome ya ccm lori linaleta watu,nyie kaeni macho lowasa wiki ijayo atakuwa dom,mtaona mabadiliko yalivyofika mpaka dom,u mwaka watu wanataka sisiem idondoke hata kama mgombea wa ukawa ungekuwa msitu
 
Maskini malock hana sera zaidi ya kutumia za chadema na kukosoa mfumo mkwamo wa ccm
 
Na kubenea
aomba mdahalo na dr slaa awe na mwakyembe na sita yy peke yake ..leo yupo kyela akirudi kesho jatu anawataka
waende na ushahidi wao wote na yyanakwenda na ushahidi ulio kamili kabisa.anasema alitaka kubaki kimya slaa kafanya kosa kumtaja sasa ameamua kutaka kuonyesha hajui kitu
pia ana ushahidi kalipwa sh ngapi yy na ficm na mshumbu
kama hawataki anaitisha press conference

hizi ndizo habari zinazovuma kwa sasa jpili asubuhi mwenye maelezo tafadhali
 
Sisi hatuhitaji waimba taarabu majukwaani....
Wananchi wanajua Lowasa huwa hahitaji kuongea sana
 
Back
Top Bottom