Naomba nipatie namba zao za simu kwani sijui wanapokaa ningewafuata wakanipa hayo maneno unayotaka weweJanuary kakuelekeza vibaya ongea na nape akupe neno jingine !
Kwani wanagombea Urais?Hivi nyie mnaosema afya ya lowasa baba zenu wazima??
Tumekusikia nyumba ndogo wa laigwanani,sasa endelea kufua nguo za mzee,kumbuka kuchukua tahadhari maana mzee alimficha mama kuwa ana nyumba ndogo,sasa wewe umeshindwa kutunza siri.Angalia usije ukapewa kibuti na mzee,ukaanza kutupa shida mjini.Ni hayo tu.
Hata mgombea wetu wa Ukawa alikwenda kwa babu na akatutangazia kuwa anawalipia nauli wapiga kura wake wa mondulii ili wapate dozi. Au ulikuwa bado chekechea hukuweza kufuatiliaMagufuli jee atarudi kwa babu wa loliondo?
Zipo tetesi kuwa Mgombea urais kwa tiketi ya Ukawa ataenda kesho Ujerumani kutokana na Afya yake kuendelea kudorora. Taarifa hiyo inasema kuwa atakaa kwa ajili ya matibabu kwa siku zisizopungua 37. Kama hii ni kweli sisi wana Ukawa tutakuwa kwenye hali ngumu kikampeni kueleka Magogoni. Kama ni kweli afya ya kiongozi wetu iko hivyo ni bora akajiangalie kwanza kwani Team yetu ya Ushindi chini ya Lisu na Sumaye iko imara. Mwenye uhakika zaidi naomba atujuze.
Haina shida. Kibaki aliaoishwa akuwa kwenye wheel chair. Aende arudi aingie magogoni ili tuone matunda ya mchina
Nitajiwe 1st 11 ya chadema ikiwa lowassa atashinda! Waziri mkuu atakuwa nani wizara ya fedha nani! Nishati na madini nani! Elimu na mafunzo ya ufundi nani! Ujenzi nani! Uvuvi! Nk..... Maana kila nikiyawaza hayo huwa naona kama ni maigizo kabisa