the manager
Member
- Jun 5, 2015
- 93
- 13
We sinda acha ujinga mficha maradhi kilio kitamwuumbua hatuwezi kunyamaza wakati jamaa anatembea mikono hawezi kuitupa mbele wala nyuma huo ugonjwa hautibiki Tanzania
Kasema anatania, soma vizuri acha kurukia vituNimehama TeamLowassa kutokana na ukweli kwamba kuna mengi yamefunikwa ambayo wengi wa mashabiki hawawezi kuona Ila kiukweli hilo la ugonjwa sio la kweli na niwaambie tu ugonjwa wake sio big deal ukilinganisha na what's behind the scene. Yani tunakaa kujadili ugonjwa wa Lowassa?
Kwanza sio kweli kwamba Dr wa Lowassa ataweza kutoa taarifa kuhusu mgonjwa wake. Kuwaza hivyo tu na kudhani watu humu watakuamini ni wazi kuwa umetudharau wanaJF. Daktari wa Ujerumani atoe taarifa za mgonjwa? Upuuzi huo.
Hivi kwanini hii habari ya ugonjwa wa lowassa inawaudhi sana na hampendi ijulikane?
Aisee hata mimi nilivyomuona kwenye mkutano arusha nilikata tamaa. .mzee anaumwa no way. .he can't lead
Mi nampa changamoto lowassa,aitishe mkutano na wanahabari kisha asiongee chochote ashike pen na karatasi aandike Jina lake tu.Akiweza nakunya hadharani.
Hivi kwanini hii habari ya ugonjwa wa lowassa inawaudhi sana na hampendi ijulikane?
Nishajua we ni masikini mmoja wapo ndo mana wapiga kelele.
Hapa anaongelewa Lowasa wewe wasemea Chenge.[/QUO
Ww unashabikia wizi na utajiri wa wizi ka Lowasa anavyowapenda Karamagi Rostam Mengi Tibaijuka wote unawajua sifa zao.nawee ni mmojawapo au watokea Richmonduli
Lowasa hatufai kwa lolote jamani.
vp dada zako na mama zako kule ROMBO bado wanavuka mpaka kwenda kupata huduma za jando upande wa pili??mbona CCM wanumwa wote: Makamu wa rais km teja miaka yote km anasikia baridi,na anvyoongea km anachelewa sikia sauti yake km imetoka ili aendelee mbele,sumaye nae km kapona ,mwandosya hakuja haja ya kusema,