Sioni kama kuna mtu wa kuzuia jina la lowasa ndani ya chadema, labda mwenyewe aamue kutogombea. 2020 mtajuta kwanini mlimpokea.Jibu swali kama jinalake halitapitishwa ataendelea kusalia hapo?
Sioni kama kuna mtu wa kuzuia jina la lowasa ndani ya chadema, labda mwenyewe aamue kutogombea. 2020 mtajuta kwanini mlimpokea.Jibu swali kama jinalake halitapitishwa ataendelea kusalia hapo?
Slaa alishasema lakini mkampuuza,vp kuhusu ujio wa nyalandu mnadhani nae ni kama lowassa!
Kwa lugha nyepesi, ujio wake ilikuwa loss kwa chama....Hakuna chochote alicholeta kipya hata asingekuja bado cdm ingepata ushindi mkubwa kuliko yeye alivyokuja, huo ni ukweli uliodhahiri. Lowassa angeenda UDP au TLP apate kura zile ningeamini na sio kupitia cdm.
Kwani nani amewahi kukuhesabu among the human beings ?
So cha kunoti ni kwamba lowasa ni mtu wa zamani so anaona mbali
Kwa lugha nyepesi, ujio wake ilikuwa loss kwa chama.
Ok pole dogo naona unaandika kwa uchungu na ghazabu nyingi ila slaa aliondoka baada ya kuona mtu waliemuimba fisadi amepokelewa na ameambiwa aikane ccm ameshindwa kuikana,mmechelewa kansa imeshamtafuna mgonjwa haiwezekani kuchomwa kwa mionzj wala kukatwa viungo!Slaa alisema nini? alichokifanya Slaa ni kuzira baada ya nafasi ya kugombea urais kupewa Lowassa. Hiyo tabia ya kuzira ya Slaa inaeleweka muda mrefu na hata wanaccm huwa mnamsifia kwa kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kwani sasa hivi haikosoi serekali ya ccm. Sipingi mchango wa Slaa kwa cdm nauheshimu sana, lakini kilichomtoa cdm sio kufukuzwa bali ni nafasi ya urais kupewa Lowassa.
Ujio wa Nyalandu kwangu sioni jipya kwani kwangu yeye ni mwanaccm kama walivyo wanaccm wengi. Sio Nyalandu tu, hata akija Nape huku cdm bado siwezi kushangilia kwani najua kabisa ataondoka ccm kuja cdm sio kwa kuipenda bali sehemu ya kupoozea machungu yake lakini sio kupenda sera zake. Wangalau Nyalandu, ukiacha sifa mbaya ya ufujaji wa mali ya umma aliyonayo mbele ya jamii kama alivyo Magu, yeye anamejitoa muhanga kwa kuhama ccm huku akiacha wadhifa wake bila kufukuzwa na kutokuogopa vitisho vya mwenyekiti asiyetaka kupingwa wala kukosolewa. Yeye namsifu kwa kuchukua maamuzi magumu kwa wakati huu na mazingira yalivyo, huu nauona ni ushujaa na si msifu kwa kutaka kujiunga cdm.
Raisi amepiga marufuku kufukua makaburi mkuu
Mkuu, huo ndio ukweli wenyewe japo kuusema hadharani inakuwa ngumu kwa wengi. Najiuliza watu kama mnyika wamekutwa na nini kiasi cha kuwa kimya hivi, sipati jibu.Kwa mtazamo wangu ujio wake ni loss kwa chama na itaendelea kuwa hivyo. Simsemei mwanachama yoyote kwani kila mtu ana mtazamo wake kwenye hili. Ila mimi kama mimi sioni faida wala jambo jipya lenye kukuza chama zaidi ya aliyovyokikuta chama.
Sioni kama kuna mtu wa kuzuia jina la lowasa ndani ya chadema, labda mwenyewe aamue kutogombea. 2020 mtajuta kwanini mlimpokea.
Ili ufutiwe dhambi zako kwa mungu kiri lowassa ni fisadi!Kwa bahati mbaya nafanya siasa kwa kujitambua bila kumuiga yoyote, msimamo wangu sio lazima ukufurahishe ndio maana sikushawishi kunikubali wala kushawishi wengine mnaomuona Lowassa anafaa awe hafai. Niko cdm muda mrefu na sijawahi kuvutiwa na cdm kwa ajili ya kusubiri ujio wa Lowassa. Nitaendelea kuipenda cdm bila Lowassa kuwa ndani ya hayo mapenzi yangu. Cdm imepata nguvu na kukubalika na wengi bila mchango wa Lowassa, hivyo kwangu cdm bila Lowassa ndio cdm original.
Watu tulinyeshewa na mvua pale, watu tulikuwa tupo tayari kukesha mkesha wa amani kwa ajili ya Lema aliyekuwa amesekwa ndani kwa hila za CCM ..Makamanda akili zimeanza kurudi ....tunaitaka CDM ile .....ile isiyoogopa chochote ....ile iliyokesha viwanja vya NMC ....ile iliyopigwa bomu .....ile iliyofanya Mwangosi akauawa ...ile si hii ....
Ok pole dogo naona unaandika kwa uchungu na ghazabu nyingi ila slaa aliondoka baada ya kuona mtu waliemuimba fisadi amepokelewa na ameambiwa aikane ccm ameshindwa kuikana,mmechelewa kansa imeshamtafuna mgonjwa haiwezekani kuchomwa kwa mionzj wala kukatwa viungo!