Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 69,572
- 123,039
Mwacheni wazir mkuu mstaafu akamilishe mission yake!
Hana mission yoyote, yeye kaja cdm baada ya kukosa nafasi ya kugombea urais huko ccm. Ila yeye sio aina ya mtu anayefaa kwa siasa za cdm, kwanza ni mzee na muda wake umeshapita, na toka alivyokuja hana jipya aliloleta chamani, labda wanaojua faida yake ni viongozi nyuma ya pazia. Mimi kama mimi siwezi kumuunga mkono Lowassa japo nitaendelea kuipenda cdm na nitaendelea kumpinga waziwazi bila kupepesa macho.
