Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,063
- 744
Na Askofu KKKT haoni aibu..Naskia EL huwa anatoa fungu kubwa sana kanisani!
Lowassa ni too senior kwenda kuwa balozi...
At most may be kwasababu kuna mwanamtandao UN (Dr. Migiro), kwa mtazamo wangu finyu, Lowassa anaweza pewa kazi ya heshima kusimamia mambo fulani serbia huko etc lakini Lowassa mwenyewe akitaka. Otherwise ni kubanana banana humu humu tu Tanzania.
Kumetolewa highlights kidogo za mahojiano kwenye taarifa ya habari ya jioni leo on TVT kwahiyo kitachorushwa on TVT 8PM GMT ni kitu already recorded... Mahojiano yalifanyikiwa monduli na kuudhuriwa na maelfu ya wananchi wa maeneo ya huko.
Namuangalia TVT,
Yaani ukimsikiliza ndio utona kuwa yale madai ya kwamba angehojiwa ma Kamati ya Mwakyembe yanazidi kuwa muhimu.Sasa amepata msemo na anaweza kuspin anavyotaka.
Waziri Mkuu huyo aliyejiuzulu alisema, hapo ndipo walipoamua kuachana na TANESCO na kuamua kutumia timu ya wataalamu wa Serikali wakiongozwa na Mwanasheria mkuu wa Serikali Johnson Mwanyika.
Kweli Africa we have long way to go , kama mwamdishi anamuuliza Mheshimiwa maswali ya kitoto kiasi kile bila follow up question tumekwisha.
Picha (attached) ya Mbunge wa Monduli Edward Lowassa akishuka kwenye ndege ya kampuni ya Coastal Air mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndge wa Arusha. Swali je pesa hizi na mandalizi kule Monduli anastahili na ni pesa zetu za kodi sisi walalahoi an ndio kutoka mfuko wa kifisadi??
Anaonekana kukata sana weight hadi mkanda kafungia tumboni.Sikuwahi kumuona kavaa namna hii katika maisha yake ya Uwaziri Mkuu ,lakini atajua kwamba Cheo ni dhamana.Gharama tena mmm sijui labda ndiyo faida za kuwa waziri Mkuu na Serikali inalipa ?
Mimi namuuliza ile deal ya mvua toka kwa wale Rushwa wenzake Thailand limeishia wapi ? Maana alilikazania naamimi alishapa kata cha juu .Jamani wale watetezi wake njoni na majibu .Mvua yetu aliyo tuahidi iko wapi ? Katika hand over notice kamwambia Pinda lini itafika ?