Kama kasaini Mkono ambaye yumo kwenye" list of shame" kaitwa shujaa na watu wamesahau kama alipwa na BOT dola 998,000.
Lowassa nae akisaini ataitwa shujaa kachagua upande wa historia.
Mkono ni mjumbe wa NEC na pia alipitishwa na CCM kuwa mgombea wa Musoma vijijini. Anachofanya Zitto ni kukusanya saini halali za wabunge wa bunge la Jamhuri ya Tanzania. Na Mkono ni mbunge kamili thanks to CCM 'ethics'. Kusukuma huu mzigo kwa CHADEMA ni kusahau mzigo ulifikaje hapo ulipo!