Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Nimeona wabunge wa CCM (8) waliosaini kwenye ombi la Zitto atakaloliwasilisha kesho kutaka Waziri Mkuu wa Tanzania apigiwe kura ya kutokuwa na imani naye, wanapongezwa.
Swali langu kwa wana jamvi wenzangu na Lowassa naye akisaini ataonekana shujaa au ataonekana mlipa Kisasi? Na Zitto amruhusu Lowassa kusaini au asimruhusu? Kwa sababu baadhi ya wabunge waliosaini na kuonekana mashujaa ni walewale miezi kadhaa iliyopita tulikuwa tunawacharura humu ndani kwamba ni "wezi" "mafisadi" na watu wanaolipwa fedha zetu bila ya kufanya kinachotakiwa.
Kila siku tunasema kwamba ndani ya CCM hakuna msafi hata mmoja wote ni mafisadi, Leo inakuwaje Filikudnjombe awe shujaa wakati anatoka CCM?
Swali langu kwa wana jamvi wenzangu na Lowassa naye akisaini ataonekana shujaa au ataonekana mlipa Kisasi? Na Zitto amruhusu Lowassa kusaini au asimruhusu? Kwa sababu baadhi ya wabunge waliosaini na kuonekana mashujaa ni walewale miezi kadhaa iliyopita tulikuwa tunawacharura humu ndani kwamba ni "wezi" "mafisadi" na watu wanaolipwa fedha zetu bila ya kufanya kinachotakiwa.
Kila siku tunasema kwamba ndani ya CCM hakuna msafi hata mmoja wote ni mafisadi, Leo inakuwaje Filikudnjombe awe shujaa wakati anatoka CCM?