Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Amejitangazia ushindi dhidi ya wabaya wake lakini mbaya wake mkuu ni mwananchi hao katu hawezi kujitangazia ushindi. Wananchi ndiyo watakaozima purukushani zake na siyo harambee za makanisa wala misikitini.
Watu wa karibu na E. Lowasa wamwambie adui yake si JK wala Nape Nnauye bali adui yake ni wananchi wanaochukia ufisadi alioufanyia nchi na kugeuka mungu mtu ndani ya CCM asiyefukuzika.
Watu wa karibu na E. Lowasa wamwambie adui yake si JK wala Nape Nnauye bali adui yake ni wananchi wanaochukia ufisadi alioufanyia nchi na kugeuka mungu mtu ndani ya CCM asiyefukuzika.