Ni kweli 'magazeti hayapigi kura', ila zingatia nguvu ya ushawishi wa vyombo vya habari (Media) kwa wapiga kura; ni kubwa sana ndio hubadili mkondo wa upepo wa mtazamo wa watu hata kama imebaki saa moja kabla ya muda wa uchaguzi. Kwa sasa kuna mambo mengi yanaendelea/yameanza/yataendelea kuhusu uchaguzi 2015. Mengi yatasemwa, km vile propaganda, misinformation nk ili mradi tu kukamilisha lengo husika la mhusika. Usidharau media influence; ina uwezo kubadili uelekeo wa mkondo wa mtazamo wa watu muda wowote. Ndio maana hata nchi kama USA media zinatumika sana sana katika nyakati zenye kugusa uelekeo wa taifa kama nyakati za vita, njaa, uchaguzi nk. Unajua kwamba CNN iko for Democrat na Fox ni kwa Republican? Nachangia kwa mtazamo usioegemea kokote; iwe UKAWA au CCM. Naomba kuwasilishaAcha wanahabari nao wavune pesa zao Lowasa na media magufuri na watanzania hasa wapenda maendeleo bahati nzuri magazeti hayapigi kura.
Acha wanahabari nao wavune pesa zao Lowasa na media magufuri na watanzania hasa wapenda maendeleo bahati nzuri magazeti hayapigi kura.
Magazet hayapigi kura!!!!" Tehtehteh
Siku zote magufuli hanaga mbwembwe yeye ni vitendo tu
Wape tena Dada, wape za uso hawa walafi
Magazet hayapigi kura!!!!" Tehtehteh
Gazeti la Uhuru na TBC wanampa makufuli covarage yakutosha sana tu
Kila Mhariri amepewa 3 million. Isipokuwa wale wa vyombo vya serikali.
Hayapigi kura kweli but stories repeatedly issued in newspapers has a significant influence to readers choice on who to vote and who not to vote. Majority wanawajua wagombea wa vyama vyote thru media, hawajawahi kutana a nao msikitini wala kanisani, msibani ama harusini, shambani wala sokoni.
Pata picha chama kingekuja na mgombea anaitwa bazobonankira bafakulelawamba, kila mtu angejiuliza, who the hell is the dude?
Hiyo si sababu ya msingi kwakuwa hata ww kama ungekuwa ni mfanya biashara lazima ungeandika habari za Lowasa ili upate kuingiza mapato zaidi kwaiyo hapo ulichoandika naona hamna point ya maana