nyi jidanganyeni tu na hizo promo, tar 25 october mtaanza kulialia humu ooh wametuibia kura, Magufuli hajashinda kihalali....
Magazet hayapigi kura!!!!" Tehtehteh
UKAWA wakiingia Madarakani Watangazaji wa TBC ni wote wa kufukuza
Acha wanahabari nao wavune pesa zao Lowasa na media magufuri na watanzania hasa wapenda maendeleo bahati nzuri magazeti hayapigi kura.
Ni kweli magazeti hayapigi kura lakini yanasomwa na wapiga kura. Utapuuza hii analysis kama hujui impact ya vyombo vya habari kwenye fikra za watu. Magazeti yanaweza kumshusha au kumuinua mtu.
Magazet hayapigi kura!!!!" Tehtehteh
Acha wanahabari nao wavune pesa zao Lowasa na media magufuri na watanzania hasa wapenda maendeleo bahati nzuri magazeti hayapigi kura.