wanatamani
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 415
- 145
Last edited by a moderator:
Magazet hayapigi kura!!!!" Tehtehteh
Magazet hayapigi kura!!!!" Tehtehteh
Sema ni mpango wa Mungu wewe mmemkata bilala kumshirikisha Mungu! Mungu akimteua mtu kaisha mteua, hivyo hakuna namna mpeni nchi mteule wa Mungu. Mungu akisema ndio hakuna wakusema hapana.lowasa kavinunua nani hajui hilo labda wewe zezeta
Magazet hayapigi kura!!!!" Tehtehteh
Acha wanahabari nao wavune pesa zao Lowasa na media magufuri na watanzania hasa wapenda maendeleo bahati nzuri magazeti hayapigi kura.