ngakiwesau
New Member
- Apr 11, 2011
- 4
- 0
Giving back to community, yes
Mbunge huyo amemkabidhi Mufti fedha hizo leo akisema amezipata kutoka kwenye michango mbalimbali ya marafiki zakeYote tisa, kumi ajivue gamba. Nchi hii iko hivi ilivyo kwa ajili yake. Umeme huoooooooooooooooooooooooooooo kwa ajili yake. Pokeeni lakini mjiulize fedha hizo alizipata wapi wakati alikuwa mwajiliwa wa serikali. Mufti usipokee hela za mashaka au (wizi) !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ah fedha Bwana, wee acha tu, tutasikia dua za namna hii nyingi sana. Kumbe penye udhia penyeza rupia. Yaleyale ya fisadi mmoja wa kihindi baada ya kuona kabanwa na kashfa kibao akakimbilia "Kufadhili klabu mojawapo kubwa ili apate sympathizers ili endapo mambo yangebumburuka apate wa kumpigia debe eti anaonewa.... ni njama za klabu pinzani... Sasa tusubiri misaada ya namna hii kwa asasi za kikristo tuone kama wote hamkulainika.Mwenyezi mungu amzidishie amuondolee jicho la husda na amlindde na maadui zake.
Leo siku ya 97 na hakuna hatua yoyote. Sijui kazitoa wapi hizi hela huyu bwana!hivi siku 90 hazijafika??
Kweli pesa sio mchezo, fikiria unakutana na...Rostam Aziz Catholic High School au Bin Laden Anglican Teachers College
Kweli pesa si mchezo, lakini 13m si pesa nyingi sana kwa chombo kama BAKWATA hadi ku-influence shule kupewa jina la Lowasa. Hapa Mufti hawezi kukwepa lawama za kuudhalilisha Uislamu. Kuna taasisi nyingi sana za kiislamu duniani ambazo zingeweza kusaidia pesa za kutosha kujenga kuliko kuomba kwa hawa mafisadi.
Hata mimi sina tatizo na msaada wa EL wala sina hofu na jinsi zilivyopatikana ila, hofu yangu ni lengo la mtoa msaada.Mimi binafsi sina tatizo na msaada uliotolewa na Mhe. EL, hofu yangu ni jinsi fedha hizo zilivyopatikana.
Mmh Mmh ok, Fedha zote zimeandikwa '' Fedha halali kwa malipo ya shiling xx''.
Anazitakasa fedha za EPA.
Shika adabu yako! Nani kakwambia huyu mtu ni Mmasai
<BR><BR><FONT size=4>Mimi binafsi sina tatizo na msaada uliotolewa na Mhe. EL, hofu yangu ni jinsi fedha hizo zilivyopatikana. Tunahitaji maelezo ya kutosha marafiki zake wapi waliotoa hizo fedha vinginevyo tutaendelea kuamini kuwa fedha hizo ni mazao ya fisadi mablimbali ambazo Mhe. EL anatuhumiwa nazo. <SPAN style="COLOR: #0000cd">Tukumbuke kuwa Tsh. 13m/- sio mchezo kuzipata hivi hivi tu</SPAN>, kuna watu huwa wanafanya harambee kisha wanaambulia milioni 1 taslimu na ahadi milioni 2!</FONT>
Kweli pesa sio mchezo, fikiria unakutana na...Rostam Aziz Catholic High School au Bin Laden Anglican Teachers College
Nafikiri hii inawezekana kwa Tanzania tu