Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowasa amemchangia Mufti Mkuu wa Tanzania sh 13 mil kwaajili ya kukamilisha ujenzi wa kituo na shule ya watoto yatima kilichopo Kigamboni jijini DSM. Mbunge huyo amemkabidhi Mufti fedha hizo leo akisema amezipata kutoka kwenye michango mbalimbali ya marafiki zake ili kukamilisha ujenzi wa kituo na shule hiyo itakayojulikana kwa jina la Edward Lowasa.
Source ni TBC1
Source ni TBC1