Lowassa alirudisha kadi ya CCM?

Lowassa alirudisha kadi ya CCM?

Habari!

Jamani nauliza LOWASSA alirudisha kadi ya CCM wakati anajiunga CHADEMA? Nauliza kwasababu kiutaratibu huwa mtu hurudisha kadi ya chama anachokihama kisha kukabidhiwa ya chama kipya. Lakini hili sikuliona wakati LOWASSA anajiunga CHADEMA au ndio kusema kwasababu ameinunua CHADEMA hakuna sababu ya kurudisha kadi ya CCM!
Alipewa bure au ali ilipia? Wewe ukinunua suruali dukani ikikubana baada ya kuivaa unairudisha ukipo inunua au unaihifadhi sandukuni?
 
Back
Top Bottom