yakowazi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2012
- 1,771
- 627
Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya CHADEMA ni kwamba James Mbatia yuko ndani ya ukawa kwa ahadi ya kusaidiwa kushinda jimbo la Vunjo. Makubaliano yameanzia 2010 baada ya Mbatia kupinga matokeo yaliyompa ushindi Halima Mdee jimboni Kawe. Mbowe alijua kuwa Mdee alielekea kushindwa ile kesi ndipo akamwomba Mbatia aifute baada ya kuahidiwa msaada Wa kampeni.
Kwa upande Wa Lowassa na Mbowe, wameingia mkataba Wa muda utakaokoma baada ya matokeo ya urais kutangazwa. Ni kwamba Lowassa hana mpango Wa kuwa rais na anajua hatachaguliwa. Hivyo malipo ya bilioni 12 aliyoyafanya Lowassa kwa Mbowe ni sehemu ya masharti ya makubaliano hayo. Lengo la Lowassa ni kukiyumbisha CCM kwa kukiongezea chadema majimbo na wanachama. Mkitaka kuamini niyasemayo, subirini baada ya uchaguzi Dr Slaa atarejea Chadema kuendelea na kazi, Lowassa atajitoa chadema na kubaki mwanaccm asiyetambuliwa(kadi ya ccm anayo). Msioamnini subirini haka kamchezo kahovyo kabisa kuwahi kutokea.
Kumbe ni taarifa za kaminika TUMEZIPOKEA na tutazijibu 2015**10*25