Lowassa alirudisha kadi ya CCM?

Lowassa alirudisha kadi ya CCM?

Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya CHADEMA ni kwamba James Mbatia yuko ndani ya ukawa kwa ahadi ya kusaidiwa kushinda jimbo la Vunjo. Makubaliano yameanzia 2010 baada ya Mbatia kupinga matokeo yaliyompa ushindi Halima Mdee jimboni Kawe. Mbowe alijua kuwa Mdee alielekea kushindwa ile kesi ndipo akamwomba Mbatia aifute baada ya kuahidiwa msaada Wa kampeni.

Kwa upande Wa Lowassa na Mbowe, wameingia mkataba Wa muda utakaokoma baada ya matokeo ya urais kutangazwa. Ni kwamba Lowassa hana mpango Wa kuwa rais na anajua hatachaguliwa. Hivyo malipo ya bilioni 12 aliyoyafanya Lowassa kwa Mbowe ni sehemu ya masharti ya makubaliano hayo. Lengo la Lowassa ni kukiyumbisha CCM kwa kukiongezea chadema majimbo na wanachama. Mkitaka kuamini niyasemayo, subirini baada ya uchaguzi Dr Slaa atarejea Chadema kuendelea na kazi, Lowassa atajitoa chadema na kubaki mwanaccm asiyetambuliwa(kadi ya ccm anayo). Msioamnini subirini haka kamchezo kahovyo kabisa kuwahi kutokea.

Kumbe ni taarifa za kaminika TUMEZIPOKEA na tutazijibu 2015**10*25
 
Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya CHADEMA ni kwamba James Mbatia yuko ndani ya ukawa kwa ahadi ya kusaidiwa kushinda jimbo la Vunjo. Makubaliano yameanzia 2010 baada ya Mbatia kupinga matokeo yaliyompa ushindi Halima Mdee jimboni Kawe. Mbowe alijua kuwa Mdee alielekea kushindwa ile kesi ndipo akamwomba Mbatia aifute baada ya kuahidiwa msaada Wa kampeni.

Kwa upande Wa Lowassa na Mbowe, wameingia mkataba Wa muda utakaokoma baada ya matokeo ya urais kutangazwa. Ni kwamba Lowassa hana mpango Wa kuwa rais na anajua hatachaguliwa. Hivyo malipo ya bilioni 12 aliyoyafanya Lowassa kwa Mbowe ni sehemu ya masharti ya makubaliano hayo. Lengo la Lowassa ni kukiyumbisha CCM kwa kukiongezea chadema majimbo na wanachama. Mkitaka kuamini niyasemayo, subirini baada ya uchaguzi Dr Slaa atarejea Chadema kuendelea na kazi, Lowassa atajitoa chadema na kubaki mwanaccm asiyetambuliwa(kadi ya ccm anayo). Msioamnini subirini haka kamchezo kahovyo kabisa kuwahi kutokea.


ukawa ni zao la ccm lililo tokana na ccm kupinga na kubaka maoni ya wananchi ya katiba mpya, hapo awali hatukuwana ukawa. hilo dudu linalo itwa ukawa mmelitengeneza wenyewe kwa misimamo yenu ya hila na ulaghai wa kuhujumu taifa. msipo kuwa makini hili dudu li ukawa linaweza kuwatafuna..................

Kurudisha kadi ya CCM ni kuwapa heshima kubwa sana.. wajanja wana ichoma tu au kuchana chana
 
Hii hoja ya kurudisha kadi mbona ilishaongelewa sana. Kadi ni mali ya mtu. Katiba za vyama zipo clear kuhusu uhai/ufu wa uanachama wa mwanachama na haiongelei suala la kurejesha kadi ya chama chako cha awali. Upo na access na internet lakini hutaki ku-download na kusoma katiba za vyama husika zinasemaje? Nenda Lumumba kaombe picha za wafuatao wakiwa wanarudisha kadi; Makongoro Nyerere, Steven Masatu Wassira, Amani Kaborou, Masumbuko Lamwai etc
 
Angalia kadi yako nyuma imeandikwaje! Ni mali ya anaelipia.
 
Ukweli gani? Wazee Wa ccm unafiki tu ina maana hayo yakitendeka alikuwa nje ya nchi au wanajinusuru kwanini hakukemea anakumbuka shuka kumekucha unafiki tu hata kwa wakongwe sijui baada ya nyerere baba wa Taifa nani?
 
Habari!

Jamani nauliza LOWASSA alirudisha kadi ya CCM wakati anajiunga CHADEMA? Nauliza kwasababu kiutaratibu huwa mtu hurudisha kadi ya chama anachokihama kisha kukabidhiwa ya chama kipya. Lakini hili sikuliona wakati LOWASSA anajiunga CHADEMA au ndio kusema kwasababu ameinunua CHADEMA hakuna sababu ya kurudisha kadi ya CCM!

waulize Wasira na Makongoro Nyerere walirudisha kadi wakati wanatoka Ccm na kwenda upinzani ? Na je walipotoka upinzani kurudi Ccm walirudisha kadi ? LOWASA alisema majina ya waliomdhamini ccm wapatao laki 8 alisema atapeleka majina yao kwake kwa ajili ya kumbukumbu nadhani ni pamoja na kadi ya ccm na yale mashati ya kijani
 
Acheni kutokwa na povu,kadi ni mali ya mwanachama,maamuzi ya kuitupa,kuichoma au kuitunza ni yake
 
Maswali mengine ni ya kitoto, je na wale walioamua kuzichoma kadi za CCM unawaongeleaje? Kama Lowassa kaamua kuichoma kama takataka ulitaka mpaka akualike ili ushuhudie?????????????????????:majani7:
 
Habari!

Jamani nauliza LOWASSA alirudisha kadi ya CCM wakati anajiunga CHADEMA? Nauliza kwasababu kiutaratibu huwa mtu hurudisha kadi ya chama anachokihama kisha kukabidhiwa ya chama kipya. Lakini hili sikuliona wakati LOWASSA anajiunga CHADEMA au ndio kusema kwasababu ameinunua CHADEMA hakuna sababu ya kurudisha kadi ya CCM!
Utaratibu umeandikwa wapi
 
Maswali mengine ni ya kitoto, je na wale walioamua kuzichoma kadi za CCM unawaongeleaje? Kama Lowassa kaamua kuichoma kama takataka ulitaka mpaka akualike ili ushuhudie?????????????????????:majani7:

"waliochoma kadi ni ukawa waliopata kadi hizo kwa ulaghai ili walionyeshe kwenye vyombo habari baadae
 
NIMEKUTA WATU WAKIBISHANA KUWA MH LOWASA KUENDELEA KUKAA NA KADI YA CCM BADO NI MWANACHAMA HAI NA KADI YAKE KALIPIA MPAKA 2025

NA PICHA ZAKE BADO ZINATUMIKA KWENYWE WEBSITE YA CCM

WATU WANA HOJI


NEC+DOM+SEPT+25,+2012.jpg
 
Back
Top Bottom