Lowassa alifuata nini Iringa?


lowasa aliwajibika mwenyewe,hakuwajibka.
 
Lowasa hawezi kuwa rais never ever. Hatufai wanyonge na watanzania. Hii nhi ni changa sn na ipo katika ujamaa na kujitegemea. Yeye ni bepari. CCM kama kweli wanataka washinde 2015 wampitishe Prof. anna kajumulo tibaijuka kugombea.

Ha! Ha! Ha! Haaaa!
 
utanilaumu bure mjomba ! kamati ya mangula ndiyo iliyowakataza KUJIPITISHA PITISHA ,labda kama KISWAHILI KIMEBADILIKA .
 
Lowassa ni Mkristo, kama walivyo wengine waliokuwepo!!! Ubaya wa yeye kuwepo uko wapi??


 

hawa ni wabunge wa wapi?
 
Mwacheni huyo mzee awe rais ameuhangaikia sana upresidenti
 
Tuache upumbavu na mawazo ya kijinga kwa kumuogopa lowasa nwakati hata siku moja hajatangaza kuwania urais ,kweli mti wenye matunda wadondoshwewa mawe ,lowasa ni mtanzania ambaye amepata bashati ya kukutana na watu wengi na kushirikiana nao tangu akiwa shule mpaka sasa pia ni waziri mkuu mstaaafu nasisitiza mstaafu ambaye mpaka sasa hana zxuio lolote la kimahakama kutogombea nafasi yoyote ,hata chama chake hakijamzuia kuhuzuria hafla, mwe mnataka hata harusi na misiba asitokee ni namna gani mnachukia kumkubali jembe ,piga ua yuko na afya njema kuiongoza tanzania miaka 10 ijayo akipewa nafasi na kila mtaka urais ccm ukimuuliza atakwambia mpinzani waki ni enl so ni kama ilivyo timu uya brazil kombe la dunia.
 
hawa ni wabunge wa wapi?

nisingeshangaa kama mbunge wa eneo husika angehudhuria , lakini kutoka MONDULI hadi IRINGA , tena bila MADARAKA YOYOTE YA KITAIFA ! JE HUKO SIYO KUJIPITISHA PITISHA ?
 
Huwa najiuliza sana, hivi Lowassa anautafuta urais wa nini wakati afya yake imedhoofu kiasi hicho? Na kama urais ndio unatafutwa hivyo, basi tujiandae kwa mateso.
Lowassa anaona hakuna maisha chini ya jua kwake bila kuwa rais. Hivyo inyeshe mvua au liwake jua yuko vitani kuusaka urais. Na akiukosa mwakani nadhani atakuwa tayari kwa kifo. Angalizo: Spidi za Lowassa zina kinga nyuma yake. Kumbuka alisema hawakukutana barabarani! Msiojua ndio mnamshangaa Lowassa lakini ukweli wapo katika mkakati wa pamoja ingawa yule yuko background!
 

Mimi ni team Lowasa naomba kudeclare interest, hivi Lowasa amekuwa Suarez nae kafungiwa shughuli za kijamii na kuabudu kama Suarez alivofungiwa shughuli za michezo?Basi kwa waliomfungia mwambie ili ajue ni lini atamaliza kifungo chake.Lowasa angeenda hata kwenye msiba wa msanii basi ingekuwa news.Please kama amefungiwa basi ajulishwe
 
nisingeshangaa kama mbunge wa eneo husika angehudhuria , lakini kutoka MONDULI hadi IRINGA , tena bila MADARAKA YOYOTE YA KITAIFA ! JE HUKO SIYO KUJIPITISHA PITISHA ?

ungekuwa na ushahidi kuwa amejipeleka na hakualikwa ndipo ungesema hivi.
 
Kwani ubunge sio sio siasa. Wamvue ububge basi kama jawataki ajihusishe na siasa.
 

membe , lowasa ,sumaye , ngeleja na wasira walifungiwa miezi 12 na kamati ya mangula kujipitisha pitisha na taarifa wanayo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…