Existentialist
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 554
- 377
Peter Serukamba ndiye Campaign Manager wa Lowassa?
Akihojiwa katika kipindi cha Breakfast cha Clouds FM asubuhi ya leo kuhusu mgombea mtarajiwa wa urais 2015 Mh. Edward Lowassa kuongea na wananchi kupitia radio hiyo, Mh. Peter Sserukamba kasema bwana EL hataweza kuongea na wananchi leo.
Hii ni Inshara kwamba Mh. Peter ni team EL na anaonekana ndiye msemaji au Campaign manager wa bwana EL.
Juzi huyu Mh. Peter alitokwa na povu jingi sana pale bungeni akitaka wasafishwe wote wenye Scandal ya Escrow, kumbe lengo lake lilikuwa limejificha!
Kabla ya Bunge kuisha tutakuwa tumewafahamu wote walio nyuma ya pazia ya haya makundi ya Urais.
Akihojiwa katika kipindi cha Breakfast cha Clouds FM asubuhi ya leo kuhusu mgombea mtarajiwa wa urais 2015 Mh. Edward Lowassa kuongea na wananchi kupitia radio hiyo, Mh. Peter Sserukamba kasema bwana EL hataweza kuongea na wananchi leo.
Hii ni Inshara kwamba Mh. Peter ni team EL na anaonekana ndiye msemaji au Campaign manager wa bwana EL.
Juzi huyu Mh. Peter alitokwa na povu jingi sana pale bungeni akitaka wasafishwe wote wenye Scandal ya Escrow, kumbe lengo lake lilikuwa limejificha!
Kabla ya Bunge kuisha tutakuwa tumewafahamu wote walio nyuma ya pazia ya haya makundi ya Urais.