CCM ni sikio la kufa!, halisikii dawa!, na kama ni tunda, basi ni la kuvunda halina ubani!, kama muda wa CCM kuondoka ukifika, CCM itaondoka tuu!, bahati nzuri iliyonayo CCM, ni kuendelea kuutegemea mtaji mkubwa wa ignorance ya Watanzania, hivyo 2015, tutaipa tena, na tena na tena mpaka litimie line neno kuwa CCM itatawala miaka 100 au milele kabisa!, kwa sababu Watanzania ni miongoni mwa watu majuha wa kupindukia ambao tunakwenda kinyume kabisa cha ule msemo wa "you can fool some people, sometime!, but you can't fool all the people all the time!, "We have all been fooled all times", na 2015 tutaichagua tena!. Mtakao bisha, bisheni tuu for the sake of kubisha, ila ukweli mchungu ndio huu!.
Pasco.