Huyu jamaa nimtabili mkubwa nandio maana alitabili mkwe wake atashinda ubunge huko arumeru na ikawa hivyn,aliwahi kutabili batilida atakua mbunge wa arusha naikawa,aliwahi kusema kesi ya lema itaamua uchaguzi urudiwe na ccm kukichukua hicho kiti maramoja na ikawa.huyu nimtabiri wakweli sasa ametabiri ccm itaendelea kuongoza nchi maana ameona inapendwa sana kwa swala la udini unao endelea kwa deni la taifa linalo kua kwa kasi,kwa maisha bora ya watanzania na wanainjoy watz ile mbaya kwa watoto wao kupata 0.na yote hayo yanamfanya aseme hivyo sababu anahamu na ikulu ili atunyonye mpaka tubaki mifupa.sasa kama yeye ndio atakae piga kura na zikatosha kuirudisha ccm tena kutu tawala basi watz hatuna haja ya ku vot tunae mganga amesha sema na mkumbuke akisema amesema.2015 fika mapema tujionee majambazi namajizi bwana!!