Lowassa aitabiria CCM Ushindi, Uchaguzi Mkuu 2015

Lowassa aitabiria CCM Ushindi, Uchaguzi Mkuu 2015

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli......

Nani Waziri mkuu mstaafu? mawaziri wakuu waliopita hawakujiudhuru, wala kushinikizwa kuachia madaraka lakini walipoomba nafasi ya kuwa wakuu wa nchi hii hawakukubaliwa, sijui yeye aliyefukuzwa kama atakuwa na nafasi ya kutimiza ndoto zake. Namtakia kila la kheri.
 
Kwahiyo wasipotekeleza, hawatashnda.!!

Utabir wake upo sawa na unaenda na wakati, kwasababu swala kubwa kwa CCM sio tu kumsimamisha mgombea gan 2015, bali ni pamoja na kutekeleza ahad zao za 2010, ambazo mpaka sasa hamna dalil ya kuzitekeleza na matatizo ya usimamiaj mambo yakiongezeka. Mfano Elimu (Kufeli),
Afya (Dawa bandia),
Uchumi (Den la taifa juu, uchum wa nchi Chini)
Udin (Mauaji)

Kwahyo kwa kifup Lowasa ameshndwa kusema moja kwa moja kuwa CCM ITASHINDWA 2015, lakn ukwel ndo huo.
 
Binafsi namheshumu sana hon. Lowassa kwa mambo aliyotenda kwa ujasiri kwa taifa letu kama kuagiza maji ya ziwa victoria yatumike kwa watanzania pia na sio kwa nchi zingine tu kama misri na sudan - hata kama hawakupenda na walitaka tufuate mikataba ya waingereza. Pia alitabiri ccm ingeshinda ubunge meru mashariki....anyway ni mwanasiasa hai.
 
Chadema kuingia ikulu ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano! Haitawezekana mara mia elfu kukiachia chakula cha watoto wako kwa mbwa mwenye njaa wewe mzazi utaönekana mjinga na hamnazo kichwani mwako!

Naona mmeibuka na tafiti na matamko,kazi mnayo magamba
 
Waziri Mkuu wa Zamani na Mbunge wa Monduli aliye jiuzulu kwa Kashfa ya Ufisadi,Mh Edward Ngoyai Lowassa,ameendeleza ndoto zake za Mchana,kwamba endapo CCM itatekeleza kwa usahihi Maagizo na Maelekezo ya Mkutano Mkuu wa Ccm,basi itakuwa ni rahisi kwa Chama hicho kushinda Uchaguzi ujao bila shida.!

Source: Gazeti la Jambo Leo!

Amepata guts za kuongea baada ya kuona ajenda ya kujivua gamba haimo katika mazimio.......
 
Wakitekeleza ahadi zote walizozitoa, Wakiwachukulia hatua List of shame, Wakifuta mikataba yote ya Ufisadi, Wakifanya mageuzi makubwa kwenye elimu ikiwa ni pamoja na kuvunja mfumo uliopo KISHA wakamsimamisha Salim Ahmed Salim Pengine wataweza kuleta ushindani mkubwa ...Bahati mbaya kwao VYOTE HAVITEKELEZEKI!!
wajiandae kwa kifo cha mende 2015....
 
Chadema kuingia ikulu ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano! Haitawezekana mara mia elfu kukiachia chakula cha watoto wako kwa mbwa mwenye njaa wewe mzazi utaönekana mjinga na hamnazo kichwani mwako!

Una maana CHADEMA wakishinda nyinyi MAGAMBA "Mtawa-KIVUITU"? au mtafanya kama alivofanya MAKAME uchaguzi ulopita?
 
Great Thinkers kwa nn tujadili kauli ya"KUTABIRI"?!Mtabiri yyt duniani HANA UHAKIKA WA ASEMACHO!

Watz tumpuuze mtabiri Shehe Yahaya Husein Edward Ngayai Lowasa
 
Labda kama yeye ndio watanzania millioni 40....na kama yeye sio chanzo cha mgao wa umeme na kama yeye sio aliye jilipia milion 150 kwa siku
 
Back
Top Bottom